Gray Mgonja: Kufikishwa Mahakamani na matokeo yake

ngoja wampe mdhamana mtaona !! atakimbia nchi hata kama watashika passport yake.mke wake na watoto wote wanaishi California Marekani.

hana lakumuweka bongo.passport ziko nje nje hapo bongo
 
The next fisadi kizimbani could be Vincent Mrisho. !! Similaly, like Mgonja he just got his pension check.
 
ngoja wampe mdhamana mtaona !! atakimbia nchi hata kama watashika passport yake.mke wake na watoto wote wanaishi California Marekani.

hana lakumuweka bongo.passport ziko nje nje hapo bongo

Sio za sasa na fingureprint kama umepata passport ya sasa hata ukipoteza babake boardercontrol/immigration yoyote wakiomba kiganja chako mambo hadharani,data zako zinamwagika.
 
Next akiwa CHENGE aisee sitasubiri kuona hizo picha akiwa kisutu then njiani kupelekwa LUPANGO!
 
Jamani, tuseme tusemavyo; hawa jamaa wananyia debe tu!!!!!!!!!!!!

Ngoma ishajamba!!!!!!!
 
1.
Mkuu FMES,

Hivi Meghji ndio alie ibua soo la EPA ? Hii ni mpya kwangu. Nilidhani ni kina Dr. Slaa. Nilidhani Mgonja na Meghji ndio walikua the usual suspects from day 1, sasa wangewezaje kuji-implicate kwa kujiibulia soo ?

- Mkuu siku hizi mbona unakurupuka sana, Mgonja ndiye mtu wa kwanza kumshitua Meghji kuwa ile karatasi aliyoisaini na kuipitisha kutoka kwa Balali inayosema kuwa security ndio wamechukua zile hela za EPA kutoka BOT, ulikua ni uongo kuna wajanja wameiba zile hela ndipo Meghji akaamua kubadili ile barua tuliyoisoma one time hapa JF, mkuu acha kukurupuka, nimesema sana hapa kwamba EPA haikuanza leo wala jana imekuwepo for years, hii ni mara ya kwanza rais ameamua kuivalia njuga.

2.
- Na huo mdomo wa farasi mwenyewe uliyeongea nae ni nani, DPP au Mgonja, au Kikwete mwenyewe ?

- Ni kwa sababu ya kui-protect, source labda tu useme kama dataz ni za uongo ndio argument yako inaweza ku-make a sense!

3.
- Mstaafu wa Idara ndio nani ? Mbona umekuwa na mapungufu ya confidence kwenye ku-spell out the info?

- Huwa sio tabia yangu ku-spell specifically jina la huyu mkuu, ni kwa sababu I know better than you do, mimi kupungukiwa confidence inaweza kutokea only nikiwa nimekufa lakini sio nikiwa mzima maana siku zote ninasimama kwenye ukweli, ID moja, na siko hapa kutafuta cheap popularity, au kuimba wimbo mmoja tu, hapa tunapiganisha ideas na kutafuta the best ideas,

- Wale wote wanaotaka kutulazimisha kuimba wimbo mmoja siku wakipewa nchi wataturudisha kwenye siasa ya chama kimoja, ninaamini kuwa umekuwepo hapa kwa muda mrefu sana sasa kuelewa kua katika kuhabarishana tunatumia mbinu mbali mbali, knowing siasa na sheria za taifa letu na mazingara yake, labda wewe hujui haya sisi wengine tunayajua, next time kama huelewi uliza wananchi wengine hapa watakusaidia, otherwise Tanzania ni nchi yangu ninaijua vizuri sana.

Thanxs!
 
NAMSUBIRI ROSTAM AZIZI Wa IGUNGA.....

- Huyu naye yuko njiani tena soon, maana nasikia deal nyingi za huyu Mgonja zinaenda mlangoni mwa Rostam, ingawa kwa kweli mambo mengine bongo tunajitakia wenyewe, huyu Mgonja amenunua nyumba US in the early 80s, kwa hiyo maisha yake yote mke yuko US yeye yuko bongo, I mean what a political joke?

- Kiongozi wa kuwa mpaka katibu mkuu wa wizara ya jamhuri, familia haipo iko US yeye anaongoza serikali ya bongo? Onlyt in Tanzania!
 
- Huyu naye yuko njiani tena soon, maana nasikia deal nyingi za huyu Mgonja zinaenda mlangoni mwa Rostam, ingawa kwa kweli mambo mengine bongo tunajitakia wenyewe, huyu Mgonja amenunua nyumba US in the early 80s, kwa hiyo maisha yake yote mke yuko US yeye yuko bongo, I mean what a political joke?

- Kiongozi wa kuwa mpaka katibu mkuu wa wizara ya jamhuri, familia haipo iko US yeye anaongoza serikali ya bongo?

Ndio maana halisi ya shamba la bibi...Ni mchezo mchafu waliouzoea ambao ulishanoga,na ndio maana kuwatumia wafanyabiashara wa kiasia kwao ni rahisi zaidi...Ama kweli kuna watu hawana huruma!
Yani nchi inaongozwa kama genge? Mgonja kakaa madarakani muda wote huo na matanuzi ni nje ya nchi tu...Sasa tulitegemea atufanyie kazi gani mtu asiyeithamini hata nchi yake na wananchi wenzake?
Watu wasiokuwa na chembe ya uzalendo walipewa madaraka kwa vigezo vya kulindana kimaslahi.
No wonder tunahitaji mapinduzi na uhuru wa kweli.
 
Kumfikisha Mgonja kwa Pilato huenda kukamwondoa Mgonja uongozini lakini hakutaondoa ufisadi uliojijenga kwenye system. Chimbuko la matatizo yetu ni mfumo mbaya wa uongozi, wa kulindana, wa CCM. Wenyewe wanaitana "Wenzetu. Huyu ni mwenzetu huyu!"

Kutatua tatizo kisawasawa ni kulingoa tangu mzizi wake. Kama CCM haiendi benchi (upinzani) basi tunajidanganya. Haitoshi kuwashitaki wachache waliochaguliwa kwa shughuli hiyo.

Tunampigia mbuzi gitaa. Kinachotakiwa ni vongozi wapya (sio hawa wenzetu) waingie madarakani ndio wawashtaki hawa. Huku kushtakiana wenyewe kwa wenyewe ni dongo la macho.

Inawezekana kuwaondoa hawa madarakani kwa kura zetu. Mbona Kenya waliweza kuiondoa KANU? Mbona Zambia waliweza kuiondoa UNIP? Hata sisi tunaweza!
 
Kumfikisha Mgonja kwa Pilato huenda kukamwondoa Mgonja uongozini lakini hakutaondoa ufisadi uliojijenga kwenye system. Chimbuko la matatizo yetu ni mfumo mbaya wa uongozi, wa kulindana, wa CCM. Wenyewe wanaitana “Wenzetu. Huyu ni mwenzetu huyu!”

Kutatua tatizo kisawasawa ni kulingoa tangu mzizi wake. Kama CCM haiendi benchi (upinzani) basi tunajidanganya. Haitoshi kuwashitaki wachache waliochaguliwa kwa shughuli hiyo.

Tunampigia mbuzi gitaa. Kinachotakiwa ni vongozi wapya (sio hawa wenzetu) waingie madarakani ndio wawashtaki hawa. Huku kushtakiana wenyewe kwa wenyewe ni dongo la macho.

Inawezekana kuwaondoa hawa madarakani kwa kura zetu. Mbona Kenya waliweza kuiondoa KANU? Mbona Zambia waliweza kuiondoa UNIP? Hata sisi tunaweza!

Yote haya yanawezekana kama mind set za Wadanganyika zitabadilika. Inatia hasira na kuhuzunisha pale unapoona mikutano ya UVCCM ikiwa imejaa vijana wasomi ambao tulitarajia ndio wangeleta mapinduzi ya kweli katika siasa za nchi hii. Vijana ndio wamekuwa mashabiki wa CCM. Ukiwauliza, eti na wao wanaamini njia pekee ya kutoka kimaisha ni kujiunga na CCM. What a crap! Vijana hao hao ndio kesho yake wanagoma vyuoni kudai ada, hao hao ndio walimu wanaodai malimbikizo ya mishahara na posho za likizo. Sasa hapa mtu unajiuliza, hivi ni kweli hawaoni matatizo yao yanaletwa na serikali mbovu ya CCM? Au na wao wamekuwa na roho na akili za kifisadi?

Kikubwa hapa ni kusafisha safu nzima ya uongozi wa serikali. Kumfikisha mmoja mmoja mahakamani ni hatua nzuri, lakini ambayo haitamaliza tatizo la ufisadi hapa nchini. Tunahitaji mabadiliko ya kweli kwenye siasa zetu. We need a new party in power.
 
corruption is a way of thinking.. Its there in Tanzanian society.. Hakuna chama Tanzania kitakachopewa madaraka alafu kisiyatumie vibaya.. That is the harsh truth.
 
corruption is a way of thinking.. Its there in Tanzanian society.. Hakuna chama Tanzania kitakachopewa madaraka alafu kisiyatumie vibaya.. That is the harsh truth.

Its very dissappointing kusikia kijana kama wewe unaamini hivyo. Mabadiliko ya kweli yatatoka wapi? Why cant we change that way of thinking? It starts with you. Nothing is impossible under the sun. We just have to change our mental slavery. I do believe we can change! What about you?
 
Inamaana huoni juhudi za polisi au na we ndio wale wale wanaoyasema maovu tu mazuri mnayakali kimya?? kwa kiasi kikubwa sana Nchi imetulia wimbi la ujambazi limetulia na hata wadokozi nao wametulia kwa kiasi kikubwa sana, Ni vyema tukajenga mazoea ya kushukuru pale kwenye maendeleo si kukurupuka na kulaumu tu kila kukicha alafu tunategemea nchi yetu iendelee mwe!

[B]Mzee Waga, Ukitaka kujua kwamba wananchi hawana imani na hilo jeshi kusanya kula za maoni. Mazuri wakati ujambazi kila kukicha tena katikati ya jiji. Don't be sentimental just be objective . Sijaona kazi ya kifanisi ya polisi wetu, it is just a mediocre kind of thing. au wewe unaishi Masaki?[/B]
 
Wana JF, is abuse of office the only offence to these fisadis?!!! mbana hawa (Yona ,Mramba na Mgonja) naona pia ni wahujumu uchumi wetu. mabilion yetu walioyonunulia majumba Marekani na South Africa na miradi iliyoandikishwa kwa majina ya ndugu na jamaa zao wa karibu yatarudije? wafilisiwe hawa - ni wabaya hawa.si tu kwamba hawastahili kuwa viongozi bali wangekuwa watanzania kwa kuandikishwa ilibidi kuwaondolea hiyo status.

Miaka ya nyuma neno mzalendo lilikuwa na maana kubwa na nzuri sana. hawa watu siyo wazalendo hata kidogo pamoja na kuwa ni watanzania wananchi hawana uchungu na nchi yetu na wala sisi wananchi.

Eee, Mungu iponye nchi yetu na watu wa jinsi hii.
 
Its very dissappointing kusikia kijana kama wewe unaamini hivyo. Mabadiliko ya kweli yatatoka wapi? Why cant we change that way of thinking? It starts with you. Nothing is impossible under the sun. We just have to change our mental slavery. I do believe we can change! What about you?


Usiogope sana ukweli ndugu,habari ndio hiyo tunaona wengi (si wote)wanapiga kelele kwa kuwa wamerukwa kwenye migawo.Usibishe hili ukibisha you can't make any changes if you're in denial.Cha msingi ni kuonyesha tunajua wanasiasa wanavyofanya kwa hiyo hata wakija wapinzani tuta watch so careful na kuonya kuwa wasione zamu yao kula.Thats whasup !
 
corruption is a way of thinking.. Its there in Tanzanian society.. Hakuna chama Tanzania kitakachopewa madaraka alafu kisiyatumie vibaya.. That is the harsh truth.

What you are saying in other words is that corruption is there to stay and there is nothing anybody can do about it - wow, I cant believe this !!! This is the kind of myth that CCM is thriving on to stay alive - people who believe in this kind of nonsense and dare to call it the harsh truth.
 
Back
Top Bottom