kwanini unafikiri mahali pekee pa kuwatetea wananchi ni Bungeni? Hivi unafikiri mipango yote ya maendeleo iliyokuwa ifanyike kishapu itaachwa kwa sababu hakuna Mbunge?
kwa kauli hii unamaanisha wabunge hawahitajiki siyo?
kwanini unafikiri mahali pekee pa kuwatetea wananchi ni Bungeni? Hivi unafikiri mipango yote ya maendeleo iliyokuwa ifanyike kishapu itaachwa kwa sababu hakuna Mbunge?
Hivi wewe Mtu B
kilichokuuma zaidi ni kipi kama Mpendazoe kafulia utamsaidia nini au familia yake utaisaidiaje kati ya yeye na wewe nani anatakiwa kuumia zaidi maana toka jana ni wewe tu na Mpendazoe inavyoonekana imeku tachi sana otherwise ungekuwa umepumzika hata kidogo kwa sababu umezungumza hadi hoja zimekuishia umebaki kafulia kafulia anyway ngoja nitoke kidogo usiondoke endelea
Leo nilisikia kauli ya Tambwe Hiza kuhusu kuhama kwa Mpendazoe
Alisema yeye amefurahi sana kuona Mpenda zoe amehama CCM kwani alikuwa anaibana sana CCM na amesema atafurahi akisikia wale wote waliokuwa kundi moja wapinga ufisadi wakihama Chama Hicho, kwani chama kitakuwa salama na hakitakuwa na migogoro. lakini hakusema endapo wanaotuhumiwa ufisadi nao wahame. jee Tambwe anafurahia Ufisadi ndani ya CCM? jee kiongozi anafaa kuwa Mbunge? anafaaa kutuongoza?Jeee akipata nafasi hizo hatozila Fedha zetu kwa kuwa wote wataobaki CCM watakuwa kimya baada kundi ambalo Tambwe halipendi likiondoka?
Ridhiwan ni mzigo kokote anakoshika nafasi! alikuwa mzigo kwenye uongozi wa Basketball yeye na Kasesela walipochaguliwa kwa mgongo na jina la Mgombea Urais wakati ule, Baba yake Kikwete, hana pointi hata chembeRidhwani ajibu tuhuma za kwamba hakumaliza shule pale Hull University baada ya kuendekeza starehe na ubishoo...kwanza yeye mwenyewe anajua ni mzigo na hizo nafasi alizopewa ndani ya UVCCM hakustahiri..ni kilaza wala hastahiri kunyooshea vidole watu wanaolitakia mema taifa letu
mbona ana nguvu kuliko akina madaraka nyerere, william mkapa au abbas mwinyi kunani............................???!!!!!
Mkuu BabaH, inapofikia suala la maslahi ya mtu kuguswa, familia nzima inaingia uwanjani.Kikwete (MR President) atatatoa tamko kwa ajili ya CCM
Mama Kikwete (FL) atatoa kwa ajili ya Umoja wa Wanawake Tanzania, wale wanaoongozwa naye
Ridhiwani katoa kwa ajili ya UVCCM
Kale kadogo (nimekasahau jina) katatoa tamko kwa ajili ya CCM CHIPUKIZI
Jamani hii kama familia ya kifalme
wataibuka wengi tu..Wiki nzima tutasikia habari za kuponda na kupongeza Mpendazoe..Boring.
Kikwete (MR President) atatatoa tamko kwa ajili ya CCM
Mama Kikwete (FL) atatoa kwa ajili ya Umoja wa Wanawake Tanzania, wale wanaoongozwa naye
Ridhiwani katoa kwa ajili ya UVCCM
Kale kadogo (nimekasahau jina) katatoa tamko kwa ajili ya CCM CHIPUKIZI
Jamani hii kama familia ya kifalme