we jamaa sijui nini huwa kinakuwasha kila muda simba .Hizi ni hujuma Mimi kama mpenda soka Huwa nachukizwa pale timu inakuwa na goli za penalty ( coz inonyesha % nyingi za mbeleko)
Hatua ya makundikolo kafunga goli Moja tu nalo ni la penalty View attachment 2838903
Kwani amesema uongo?we jamaa sijui nini huwa kinakuwasha kila muda simba .
alafu unajiona mchambuzi wa soka
kwahiyo?
yanga wa mwisho kwenye group lake na simba hivyohivyo
ongea kingine tena
Yanga ana magoli mangapiKwani amesema uongo?
Mawili na hakuna la penaltyyanga ana magoli mangapi
yamemfikisha wapi hadi sasaMawili na hakuna la penalty
Mkuu Kwan Simba Wana goal ngapi pale mjini group stage .....ukiachana na penalty goalwe jamaa sijui nini huwa kinakuwasha kila muda simba .
alafu unajiona mchambuzi wa soka
kwahiyo?
yanga wa mwisho kwenye group lake na simba hivyohivyo
ongea kingine tena
kwahiyo goli la penalty sio goliMkuu Kwan Simba Wana goal ngapi pale mjini group stage .....ukiachana na penalty goal
Kwani makundi yamefika tamati?yamemfikisha wapi hadi sasa
sasaa.....sisi tuna la penalty ila tupo sawa na nyie ambao mnaona mmefika kwa kutokuwa na goli la penaltyBado yupo mwishoni
kwani kwa simba ndo tamati kutokupata magoliKwani makundi yamefika tamati?
Lkn yule Mzee.....kipara alichukua kistu Msimu uliopita .....
goli ni goli broLkn goal la penalty halina uzito sawa