Je wajua! Simba ina goli moja tu nalo ni la penalty

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
Hizi ni hujuma Mimi kama mpenda soka Huwa nachukizwa pale timu inakuwa na goli za penalty ( coz inonyesha % nyingi za mbeleko)

Hatua ya makundi kolo kafunga goli Moja tu nalo ni la penalty
1702156877789.jpg
 
Hizi ni hujuma Mimi kama mpenda soka Huwa nachukizwa pale timu inakuwa na goli za penalty ( coz inonyesha % nyingi za mbeleko)

Hatua ya makundi
emoji23.png
emoji23.png
kolo kafunga goli Moja tu nalo ni la penalty View attachment 2838903
we jamaa sijui nini huwa kinakuwasha kila muda simba .
alafu unajiona mchambuzi wa soka
kwahiyo?
yanga wa mwisho kwenye group lake na simba hivyohivyo
ongea kingine tena
 
we jamaa sijui nini huwa kinakuwasha kila muda simba .
alafu unajiona mchambuzi wa soka
kwahiyo?
yanga wa mwisho kwenye group lake na simba hivyohivyo
ongea kingine tena
Mkuu Kwan Simba Wana goal ngapi pale mjini group stage .....ukiachana na penalty goal
 
Back
Top Bottom