MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hivi Kocha mwenye Akili Timamu unawezaje kuwaanzisha Wachezaji Waandamizi na waliotumia Nguvu Kubwa katika Derby badala ya Kuwatumia wale wasiokuwa na Nafasi na ambao hata Kiufundi tu Mechi hi ndiyo ingewafaa?
Hivi leo Pablo Franco Martin angeanza na Kikosi hiki nani angemlaumu hata kama Kingefungwa ukizingatia kuwa hakuna cha Kupoteza kwakuwa tayari Yanga SC kwa 99% ni Bingwa wa NBC Premier League?
1. Beno Kakolanya
2. Israel Patrick
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Pascal Wawa
6. Thadeo Lwanga
7. Yusuph Mhilu
8. Muzamiru Yasin
9. Meddie Kagere
10. John Bocco
11. Jimmyson Mwinuke
Pablo si Kocha afukuzwe upesi Simba.
Kuhusu lile Goli la Tatu lililofungwa na Mshambuliaji Obrey Chirwa na Kukataliwa lilikuwa ni halali ( sahihi ) tena kwa 100% na kwamba Namungo FC wamenyimwa Makusudi Goli / Bao lao zuri tu.
99% ya Wachezaji wa Simba SC leo walikuwa Wamechoka ( Wameshanoki ) na hawakuwa katika Kiwango chao Kilichozoeleka na hata tu Body Languages zao zilisema mengi juu yao.
Cc: NAJYUZ, Laki Si Pesa
Hivi leo Pablo Franco Martin angeanza na Kikosi hiki nani angemlaumu hata kama Kingefungwa ukizingatia kuwa hakuna cha Kupoteza kwakuwa tayari Yanga SC kwa 99% ni Bingwa wa NBC Premier League?
1. Beno Kakolanya
2. Israel Patrick
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Pascal Wawa
6. Thadeo Lwanga
7. Yusuph Mhilu
8. Muzamiru Yasin
9. Meddie Kagere
10. John Bocco
11. Jimmyson Mwinuke
Pablo si Kocha afukuzwe upesi Simba.
Kuhusu lile Goli la Tatu lililofungwa na Mshambuliaji Obrey Chirwa na Kukataliwa lilikuwa ni halali ( sahihi ) tena kwa 100% na kwamba Namungo FC wamenyimwa Makusudi Goli / Bao lao zuri tu.
99% ya Wachezaji wa Simba SC leo walikuwa Wamechoka ( Wameshanoki ) na hawakuwa katika Kiwango chao Kilichozoeleka na hata tu Body Languages zao zilisema mengi juu yao.
Cc: NAJYUZ, Laki Si Pesa