Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,387
Katika mechi inayoendelea muda huu, mshambuliaji Messi kafanya kazi ya ziada iliyopelekea Argentina kupata bao la kuongoza baada ya kutoa pasi nzuri kwa mfungaji.
Kazi kubwa aliyofanya Messi ingefanywa na mchezaji mwingine, sifa zingeenda kwa mfungaji wa bao(mmaliziaji) na sio alietengeneza nafasi(Messi) kwa mfungaji
Na hii ndio kawaida kwenye soka anaefunga ndio anabeba sifa hata kama alitengenezewa nafasi akabaki yeye na kipa ili kumalizia na alietumia uwezo binafsi kutengeneza nafasi kwa mfungqji anaweza kusahaulikq ndani ya muda mfupi?
Swali ni je, kwanini hali hii huwa ni tofauti kwa wachezaji maarufu ambao wakisaidia kupatikana bao, husifiwa wao zaidi kuliko hata waliofunga goli?
Uchambuzi wa soka ni kama movie tu ambapo stelingi siku zote hafi na Katika soka, ukiwa star, basi wewe unakuwa ndio stelingi muda wote unasifiwa.
Kazi kubwa aliyofanya Messi ingefanywa na mchezaji mwingine, sifa zingeenda kwa mfungaji wa bao(mmaliziaji) na sio alietengeneza nafasi(Messi) kwa mfungaji
Na hii ndio kawaida kwenye soka anaefunga ndio anabeba sifa hata kama alitengenezewa nafasi akabaki yeye na kipa ili kumalizia na alietumia uwezo binafsi kutengeneza nafasi kwa mfungqji anaweza kusahaulikq ndani ya muda mfupi?
Swali ni je, kwanini hali hii huwa ni tofauti kwa wachezaji maarufu ambao wakisaidia kupatikana bao, husifiwa wao zaidi kuliko hata waliofunga goli?
Uchambuzi wa soka ni kama movie tu ambapo stelingi siku zote hafi na Katika soka, ukiwa star, basi wewe unakuwa ndio stelingi muda wote unasifiwa.