Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,386
Kwa hiyo kuna mwanasiiimbaaa alikaa hapo akawa anatupanga anasema Tunaenda kumtoa Al Ahly kwake?
Aiseee
Aiseee
Kwakuwa tutaanzia home tunaweza kuanza nae Lomalisa, ila Cairo hapana. Lomalisa ni mzuri kuipa timu matokeo sio kuzuia.Lomalisa atasaidiwa na Mwamnyeto ama Bacca kwenye huu upande wa kushoto, af kwa watakaotaka kupita pale kati atakuwepo "The Tank" Aucho na Mudathir maana huwa wanashuka sana chini kurudi wkt timu haina mpira.
StagnantSiwadaiiiii jamani vipenzi vyangu...
Nyie rudini tuje tuwapokeee
April 16 mlisema hayo5 November siyo mbali
Nilikuwa nina wasiwasi sana juu ya mechi za Simba Sc group stage CAFCL, ila mtazamo umebadilika baada ya hii michezo miwili.Wanangu wa Simba wote tembea kifua mbele,bado Simba inatisha.
Ahmed Ally ndio anawaondoa ufahamu hawa Mbumbumbu aka Mwakarobo fc.Kwa hiyo kuna mwanasiiimbaaa alikaa hapo akawa anatupanga anasema Tunaenda kumtoa Al Ahly kwake?
Aiseee
Hahahha jasiri kuacha asili ni ngumu mnoKuna mtu ananifanya nawaonea huruma, yaniiiii! Ila mfungwe tu, japo sio goli nyingi.
Mtatamba sana nyie...
Trash...Stagnant
Sawa dada. UNAENDA?Simba is the team which is not going anywhere, subiri Yanga akuonyeshe jinsi ya kumfunga Al Ahly nyumbani kwao sio mnakalia draw draw tu mnatoka kizembe
Very weak ktk hiliKabisa..
Huwezi michuano miikubwa una strikers aina ya KIBU , ONANA...
Timu inakosa quality ya kumiliki mpira.
Dar na Cairo kote timu ikikosa control na kupiga pasi kadhaa ..
Pamoja ya kwamba AHLY ni timu kubwa lakini kuna madhaifu mengi SIMBA inahitaji analytical REPORT kubainisha..
Mwanzo - mwisho pasi 2 au 3 mpinzani kashapora kwa nguvu...
Hebu chomoa huo mwiko ulionasia mbaraliAhmed Ally ndio anawaondoa ufahamu hawa Mbumbumbu aka Mwakarobo fc.
Kwahiyo kuna Mwana Mwiko nyuma alikaa hapo akitegemea Al Ahly inao uwezo wa kuifunga Simba Sc.?Kwa hiyo kuna mwanasiiimbaaa alikaa hapo akawa anatupanga anasema Tunaenda kumtoa Al Ahly kwake?
Aiseee
Mwakarobo punguza kwanza hasiraApril 16 mlisema hayo
Mkwakwani mlisema hayo
Bahati nzuri mnajua kabisa mkandaji yuko moto kusokomeza ule Mwiko ulionasia mpungani
Mamelodi keshamnywa sana huyo mwarabu hapo kwaoSimba inaendelea kupiga hatua... timu ya kwanza kufunga goli Al Ahli kwao
Position IHEFU fc...landedMatch Played 4
Win 0
Draw 4
Position: Mwakarobo
Ni kweli kwenye kukaba sio mzuri kwa kiwango kikubwa, yani anahitaji kucheza na winga kama moloko upande ule wa kushoto maana moloko huwa na nidhamu nzuri sana kwenye kukaba huwa anrud kusaidia kukaba sema shida ya moloko kwenye kushambulia anacheza mpira wa kizamani sana kwenye kushambulia....au ndo asaidiwe kukaba na akina mwamnyeto na Bacca.Kwakuwa tutaanzia home tunaweza kuanza nae Lomalisa, ila Cairo hapana. Lomalisa ni mzuri kuipa timu matokeo sio kuzuia.
Huwa ana makosa mengi ktk marking kwakuwa anapanda sana.