Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,334
- 5,838
ILa ametoka aahaaSimba haijapoteza mechi yeyote sio ligi kuu wala AFL kwa wakubwa
ILa ametoka aahaaSimba haijapoteza mechi yeyote sio ligi kuu wala AFL kwa wakubwa
Najua uliiua simba pole sanaMatokeo hayasemi ukweli wa mpira ulivyokuwa, Ahly Fc walistahili point 3 hii mechi sema bahati haikuwa kwao.
Percy Tau ni overrated player, nimeshangaa amemalizaje dk. 90.
Hasara ya kukimbia shule hio. PoleHawa jamaa wanaishi kikazoea Sana. Na huyo ahly ataingia mikono yetu tu tuwaoneshe namna ya kumkanda
Ushapanik naomba waliokaribu na wewe wakushike usije ukapasuka 😆Mtajijua wenyeweeeeeee hamtutishi kabisaaa....yani kwa sasa hamtutishiiii...sisis ndo Simbaa...
Hata mfikie fainali hamtamfikia mnyama abadanii
Ushabiki wa mpira ni raha, kutaniana na kucheka. Kuna watu humu mko so serious na mnachukulia mambo personal. Matusi ya nini sasa?Nyie miaka 25 umri wa kijana mwenye mke. Washenzi kabsa
Sijabet,Najua uliiua simba pole sana
Dada wa yanga wewe. M.j.i.g.aKutoka NDOLA mimi shabiki wa POWER DYNAMO nasema karma is real! usidhurumu utadhurumiwa
Wewe ulieanza kupenda mpira kwa Simba kucheza robo fainaliSiongei na watu amjawahi kuucheza wala kuupenda mpira mnakulupuka ukubwani kupenda timu
Yatakua ni maajabu mwaka atakaovuka robo.Tumekubaliana kwamba simba haiwezi kuvuka robo fainali!?
Au tusubiri!.
Si mama yako mzazMganga wenu musipo mlipa itakua hamjamtendea haki, kajitahidi sana.
Kabisa..Hii mechi tungekua na quality player wawili tu kwenye nafasi alioanza Boko na kibu tungezungumza mengine leo. Simba tukafanye usajili wa maana tuache siasa.