suplex city
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 433
- 117
mshindi keshapangwa ni kayumba
Kama jk alivoingia na majina yake mfuko wa shati.
mshindi keshapangwa ni kayumba
Kila kundi la watu zaidi ya watano bac ujue kuna mabadiliko ndani yake
Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji muongozaji wa Bongo Star Search Siza Daniel amekuja na Msemo wa #HapaKaziTu.
Hali imebadilika ghafla ukumbi ukalipuka mabadiliko, huku waudhuriaji wakionesha vidole viwili kuashilia alama ya chama cha siasa na wengine wakizungusha mikono kuonesha Mabadilikoooooo..
Kazi kweli kweli!
Mkuu uko fasta kuandika hahahaha.
hahahaha sawa mkuu
but uwezi kunielewa maana NAONGEA MZIKI
Fonabo ni jamal wa empire
kumbuka yupo kwenye stres na yupo vileDuuuuuu fonabo na Jamal
Akiongeza bidii atamfikia Jamal ila kwa sasa naona Bado
da enjoy ndo katoka
yah yupo wa nigeria RUN TOWNHiv kuna msanii wa kimataifa katika shindano la leo ??