Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Imeshaanza. tayari
Mshindi katika shindano hili atajinyakulia kitita cha Tshs 50,000,000/=
Update
Time: 22:35
Update
time: 22:45
Waliopo jukwaani ni Nsami na Barnaba
Update:
Update
Update
Update
Washiriki ni hawa hapa
1. Walter
2. Nsami
3. Salma
4. Nshoma
5. Wababa
Mshindi katika shindano hili atajinyakulia kitita cha Tshs 50,000,000/=
Update
Time: 22:35
Washiriki waloingia top ten wanaimba nyimbo ya Pamoja
Update
time: 22:45
Waliopo jukwaani ni Nsami na Barnaba
Update:
Nsami na Barnaba wamemaliza Walioingia hivi sasa ni
Nshoma na Leila Rashid
Update
Nshoma na Leila Rashid wamemaliza Walioingia
hivi sasa ni
Salma na Linex
Update
Salma na Linex wamemaliza Walioingia
hivi sasa ni
Wababa na Mwasiti
Update
Mwasiti na Wababa wamemaliza Walioingia
hivi sasa ni
Walter na Dito