dah
kayumba anaimba hit song
ila fonabo anaimba mziki,na anaandika nyimbo zake
kayumba akishnda atapotea
fonabo either ashnde au asishnde
ANA HAZINA KUBWA INAHTAJI MSIMAMIZI TU tangu arusha nimeona hli
all the best fonabo
dah
kayumba anaimba hit song
ila fonabo anaimba mziki,na anaandika nyimbo zake
kayumba akishnda atapotea
fonabo either ashnde au asishnde
ANA HAZINA KUBWA INAHTAJI MSIMAMIZI TU tangu arusha nimeona hli
all the best fonabo
ana sauti na anajua kuperfom,pia frida baada ya bss sidhan kama watapotea maana ni wanamzikihata Kelvin ni mkali.
kayumba anatumia ujanja wa wengi walioshinda bongo star searchKayumba ni moto wa kuotea mbaliii
Amefanyajeew
hahahaha sawa mkuuOne step at a time
Step ya kwanza ni ku win 50 million kwa kjana kayumba