kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
ni kweli JK alipiga simu? basi tumeishi miaka mitano bila raisNdiyo aliyebuni kipindi cha "Birthday ya JK". Watu wakashiriki (na JK mweyewe kwa kupenda mambo ya hovyohovyo alishiriki) kupiga simu.
Kibonde ni chizi