KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Cheki domo.
Ephraim Kibonde ndiyo nani?
Amandla.........
That's where we differ, Kibonde amefanya tutamani kusikiliza kile kipindi
He is good
Dah leo hayupo 😢 😢Mwambie na sisi tunashukuru kwa kulitangaza jukwaa hili,Long live Clouds FM,Long live Kabonde,last but not leastly...Long live Jambo Forums,God bless Jamii Forums,God bless Tanzania,God bless Africa!!
🤣😂😂😂 Apumzike tu kwa amaniYule jamaa wa kwenye screen aliposoma kwenye gazeti kuwa maaskari wamemwagwa kwa wingi zanzibar sehemu nyeti, yeye Kibonde akaashiria kuwa wamemwagwa kwenye........... ,(Nimeshindwa kuandika neno lenyewe nisije fungiwa na mod),
Yule jamaa akaendelea kusoma gazeti lingine, akasoma kuwa mgombea alikuwa makunduchi, yeye (Kibonde) akaashiria vingine na kusema kuwa kwao yapo mengi ila kwetu lipo moja linaitwa kunduchi. (Alichomaanisha siwezi kukiandika hapa.)
Ndio maana nimeuliza hiki kipindi kina maadili?
enzi hizo JF haijavamiwa na vijana wa hovyo, ukiikosa hewani unatamani iwe ndotoJamaa kaingia studio tu mida kama ya saa kumi na nusu, kitu cha kwanza kusema eti " nilikuwa nasoma mtandao wa jamii forums sa-sa hivi kabla sijaingia hapa"....unafanya mchezo na vichwa vya JF