Ephraim Kibonde Jahazi Show

Wazee wa jahazi kazini.....

e+kibonde.JPG
g.habashi.JPG
 
Tatizo ni kuwa JF imegeuka kuwa ya watu fulani. Kuimba ama kutokuimba. Huyu ni kijana ambaye amepenya kwenye nyanja ya utangazaji. Tumekuwa watu ambao hatuangalii hii nchi inakwendaje. Tunakuwa ni watu wa kusema kwa sababu fulani amechangia hivi basi mimi nichangie kwa sababu huyu anasema hivi.Tunatumia majukwaa haya vibaya.
Maana yangu ni kuwa Kibonde yuko juu, sema JF ni mtandao wa wanaopinga serikali. Kipaji cha mtu lazima kithaminiwe. Kama unaweza kumshawishi Raisi wa nchi akajibu simu yako, wewe ni mjinga? Raisi ni mjinga? Larry King anafanyaje? Hard Talk Inakuwaje? Hata kuandika post kwenye JF ni kipaji, hatuna sababu ya kumshambulia kijana huyu, laa ni watu tusiojua tunafanya nini.
Nimesoma naye, namfahamu, mnakuza mambo. Hata nyie kwenye fani zenu wangapi tumewaona mnaboronga? Sisi tulio nje ya nchi tunajivunia nini kwa yeyote kati yenu? Bure! Mmepata sehemu ya kutoa mawazo endelevu mnachofanya ni kukatishana tamaa.NI rahisi sana kuandika na kutukana lakini mchango wako wewe kwa TAIFA ni upi? Tumieni JF kama sehemu muhimu ya kusema MIMI KAMA MTANZANIA NIMEFANYA NINI KUENDELEZA NCHI YANGU? USISEME TANZANIA KAMA NCHI IMAFANYA NINI KUNIENDELEZA!!!
Kuwa na kompyuta, ama niseme kwenda cafe na kuponda juhudi za kijana mwenzio kwa kashfa, ndio jukumu lako kama MTANZANIA?.
TUNAONA AIBU NA POST ZENU, HAZIJENGI, HAZIFUNDISHI, BALI ZINAONYESHA JINSI TULIVYO NA AKILI NDOGO!!!!
POLENI.
 
Naomba kujua kama kipindi hiki ni cha udaku ili tusikiangalie na watoto au ni cha kawaida tunaweza kukiangalia na wakwe zetu,
 
mmmh mm nimeangalia jana sijakielewa,kama wanasoma habari tofauti tofauti hiviii,au wanajadili mambo!maybe nilikuwa na haraka zngu sikuelewa
 
mmmh mm nimeangalia jana sijakielewa,kama wanasoma habari tofauti tofauti hiviii,au wanajadili mambo!maybe nilikuwa na haraka zngu sikuelewa

You are absolutely right sijaelewa maana ya kipindi zaidi ya Kibonde kutoa macho tu na kufanya vituko ambavyo havieleweki sijajua kipindi kinalenga nini au kama ni cha kuchekesha sijui kiufupi sijaelewa kabisa
 
kukizungumzia ni kama kukipa umaarufu!
tukipotezee tujadili mambo ya masingi wakuu

LEO VALUU WAPI?
 
mmmh mm nimeangalia jana sijakielewa,kama wanasoma habari tofauti tofauti hiviii,au wanajadili mambo!maybe nilikuwa na haraka zngu sikuelewa

Yule jamaa wa kwenye screen aliposoma kwenye gazeti kuwa maaskari wamemwagwa kwa wingi zanzibar sehemu nyeti, yeye Kibonde akaashiria kuwa wamemwagwa kwenye........... ,(Nimeshindwa kuandika neno lenyewe nisije fungiwa na mod),

Yule jamaa akaendelea kusoma gazeti lingine, akasoma kuwa mgombea alikuwa makunduchi, yeye (Kibonde) akaashiria vingine na kusema kuwa kwao yapo mengi ila kwetu lipo moja linaitwa kunduchi. (Alichomaanisha siwezi kukiandika hapa.)

Ndio maana nimeuliza hiki kipindi kina maadili?
 
You are absolutely right sijaelewa maana ya kipindi zaidi ya Kibonde kutoa macho tu na kufanya vituko ambavyo havieleweki sijajua kipindi kinalenga nini au kama ni cha kuchekesha sijui kiufupi sijaelewa kabisa


Kama hakina maana yoyote ni kwa nini mamlaka husika zisikifutilie mbari?
 
Kama hakina maana yoyote ni kwa nini mamlaka husika zisikifutilie mbari?
Kuwa na maana kwa mtu mmoja, .....not necessarily kiwe na maana kwa mtu mwingine.............Vinginevyo kila mtu akisema apange vipindi kwa namna anavyoona yeye, basi hakuna kipindi kitakachoonyeshwa popote............. Fikiri home kwenu...........

Saa 2 kamili usiku unataka taarifa ya habari..............lakini mkeo anataka tamthiria............... na mwanao anataka katuni za DSTV kwenye luninga hiyo hiyo.........................

PAMOJA NA HAYO KAMA KUNA KITU HUKIOENDI KWENYE HIZI TV ZETU NA HAKIVUNJI SHERIA YA NCHI............basi.............kipotezeeeeeeeeeeeee................... na si kulalama utadhani wewe ni muonja vipindi (POMBE) halafu ukiona kuwa ni kizuri nasi tukipende........THAT IS NOT KUWEZEKANA..............BANA.
 
Yule jamaa wa kwenye screen aliposoma kwenye gazeti kuwa maaskari wamemwagwa kwa wingi zanzibar sehemu nyeti, yeye Kibonde akaashiria kuwa wamemwagwa kwenye........... ,(Nimeshindwa kuandika neno lenyewe nisije fungiwa na mod),

Yule jamaa akaendelea kusoma gazeti lingine, akasoma kuwa mgombea alikuwa makunduchi, yeye (Kibonde) akaashiria vingine na kusema kuwa kwao yapo mengi ila kwetu lipo moja linaitwa kunduchi. (Alichomaanisha siwezi kukiandika hapa.)

Ndio maana nimeuliza hiki kipindi kina maadili?
you are assolutely right .... mimi nilikuwa nimekaa na wadogo zangu *Si wadogo kiviiile but kiumri nimewapita sana) nilijikuta nimehamia chumbani huku mwanangu wa miaka miwili na nusu anayejifunza kusema ananifuata nyuma akiimba machuduchi machuduchi.

Kama ni cha uchekeshaji basi nawashauri wawe wanaangalia na maneno wayatumiayo otherwise kihamishiwe usiku mwingi
 
you are assolutely right .... mimi nilikuwa nimekaa na wadogo zangu *Si wadogo kiviiile but kiumri nimewapita sana) nilijikuta nimehamia chumbani huku mwanangu wa miaka miwili na nusu anayejifunza kusema ananifuata nyuma akiimba machuduchi machuduchi.

Kama ni cha uchekeshaji basi nawashauri wawe wanaangalia na maneno wayatumiayo otherwise kihamishiwe usiku mwingi
hahahahaaa@! hahahahaa! ngoja niitoke huku kwa mkoloni, naona nacheka peke yangu ofisi nzima inaitika kwa mwangwi!!!
 
Yule jamaa wa kwenye screen aliposoma kwenye gazeti kuwa maaskari wamemwagwa kwa wingi zanzibar sehemu nyeti, yeye Kibonde akaashiria kuwa wamemwagwa kwenye........... ,(Nimeshindwa kuandika neno lenyewe nisije fungiwa na mod),

Yule jamaa akaendelea kusoma gazeti lingine, akasoma kuwa mgombea alikuwa makunduchi, yeye (Kibonde) akaashiria vingine na kusema kuwa kwao yapo mengi ila kwetu lipo moja linaitwa kunduchi. (Alichomaanisha siwezi kukiandika hapa.)

Ndio maana nimeuliza hiki kipindi kina maadili?


Kama hayo yanaweza kufanywa kwenyetv ya walipa kodi, TBC1, kupitia original comedy,,nani wa kukemea cloudtv?
 
Mimi nafikiri si kulalamika sana kwasababu tanzania hii hamna wa kukemea ilimradi mawingutv wanalipa kodi,njia nzuri ni kumwambia Kibonde aache hayo mambo kwani hayana faida kwa jamii maana kipindi kinaangaliwa na wengi wa rika tofauti afate proffesional ethics na nafikiri dhumuni la kipindi ni nzuri ila hao wanaokiendesha ndio wanaharibu. Kibonde badilika.:thinking:
 
you are absolutely right sijaelewa maana ya kipindi zaidi ya kibonde kutoa macho tu na kufanya vituko ambavyo havieleweki sijajua kipindi kinalenga nini au kama ni cha kuchekesha sijui kiufupi sijaelewa kabisa

tatizo ni kuvamia funny;wale watangazaji wote wanatakiwa waende kupigwa msasa jinsi ya kutengeneza vipindi vy tv,jinsi kujibehave kwenye tv,kusmile ,kuangalia mbele lakini awa jamaa walipofanikisha tv yao wakaona isiwe taabu tuwavute awa wa redio wakimaliza huku wanakuja huku..ndio vituko vinavyomtokea kibonde..u can imagine vituko anavyoongea jahazi sasa anaongea live kwenye tv m nashauri msiangalie kabisa hiko kipindi ama waachieni watoto
 
Back
Top Bottom