Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,413
- 31,402
- Thread starter
- #141
AKINA MAMA AMBAO WATOTO WAO WAMEUAWA NA POLISI
- Mama yake msichana aliyeuawa
Mwanangu alilazwa kaburini katika unlawaful arrest
-Nipo hapa na HC leo, kwasababu ni kiongozi na mama atakayesadia watoto wetu.Anajua kijana mdogo mweusi akiuawa ni nationa loss.
******Anaongea mama mwingine
-Naamka kila siku nikimfikiria. Jordan akiwa mdogo alikuwa na utani, akila PepsiCo. Niliishi kwa hofu kwamba kijana wangu angekufa hivi na kwamba angekutana na watu wasiojali maisha.
Haya ni mazungumzo kila mzazi awe nayo
-HC hajaengi kuta kuzunguka moyo. Ametukaribisha kuwa sehemu ya movement. Tunataka future ya Polisi na Jamii kuishi pamoja
-Tutamuunga mkono HC ili hii club ya heart broken mother isiendelee
*****Anaongea mwingine
-Ni mshiriki ambaye sikutarajia kuwa katika movement. Ni mama wa Trvor Martin. Sikutaka spot light , nitafanya kila linalowezekana kuondoa maumivu ya siku za nyuma kwa future nzuri
-HC ana moyo wa kusikiliza. Hafanyi haya kisiasa bali kuokoa maisha
-Kwa kumbu kumbu za watoto wetu tunawaomba nyote mpige kura katika siku ya uchaguzi. Nawashukuru kwa kusimama nasi
Wanamaliza
-
- Mama yake msichana aliyeuawa
Mwanangu alilazwa kaburini katika unlawaful arrest
-Nipo hapa na HC leo, kwasababu ni kiongozi na mama atakayesadia watoto wetu.Anajua kijana mdogo mweusi akiuawa ni nationa loss.
******Anaongea mama mwingine
-Naamka kila siku nikimfikiria. Jordan akiwa mdogo alikuwa na utani, akila PepsiCo. Niliishi kwa hofu kwamba kijana wangu angekufa hivi na kwamba angekutana na watu wasiojali maisha.
Haya ni mazungumzo kila mzazi awe nayo
-HC hajaengi kuta kuzunguka moyo. Ametukaribisha kuwa sehemu ya movement. Tunataka future ya Polisi na Jamii kuishi pamoja
-Tutamuunga mkono HC ili hii club ya heart broken mother isiendelee
*****Anaongea mwingine
-Ni mshiriki ambaye sikutarajia kuwa katika movement. Ni mama wa Trvor Martin. Sikutaka spot light , nitafanya kila linalowezekana kuondoa maumivu ya siku za nyuma kwa future nzuri
-HC ana moyo wa kusikiliza. Hafanyi haya kisiasa bali kuokoa maisha
-Kwa kumbu kumbu za watoto wetu tunawaomba nyote mpige kura katika siku ya uchaguzi. Nawashukuru kwa kusimama nasi
Wanamaliza
-