Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,413
- 31,403
- Thread starter
- #181
Kabla ya Gen John
-Aliongea Rev wa dini kutoka North. Alioongelea mambo ya kiroho na demokrasia. Alisisimua sana ukumbi kwa mpangilio wa hoja
-Kisha akaja Karim Al Jabar, naye aliongelea si kama kiongozi wa dini bali maudhui yaliyoakisi Uislam .
-Na kisha akaja Mr Khan, ambaye mtoto wake Khazir Khana aliuawa akiwa askari wa Marekani. Mzee alipeleka ujumbe wa patriotism akim challenge Trump kupitia kauli zake dhidi ya Immigrant na Uislam
Hawa wote waliwakilisha vizuri sana ujumbe wao
-Aliongea Rev wa dini kutoka North. Alioongelea mambo ya kiroho na demokrasia. Alisisimua sana ukumbi kwa mpangilio wa hoja
-Kisha akaja Karim Al Jabar, naye aliongelea si kama kiongozi wa dini bali maudhui yaliyoakisi Uislam .
-Na kisha akaja Mr Khan, ambaye mtoto wake Khazir Khana aliuawa akiwa askari wa Marekani. Mzee alipeleka ujumbe wa patriotism akim challenge Trump kupitia kauli zake dhidi ya Immigrant na Uislam
Hawa wote waliwakilisha vizuri sana ujumbe wao