Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,390
- 31,338
- Thread starter
- #121
Hoja ya Pili
Kuhusu upendeleo
Hili nalo linapaswa kuangaliwa kwa upana. Kwanza, malalamiko ya Sanders kuhusu upendeleo yalijikita katika maeneo makuu mawili
1. Kuruhusu chaguzi ziwe open kwa vile Sanders alionekana kufanya vizuri ingawa takwimu hazikubali
2. Kupelekea uchaguzi kwenye mkutano mkuu kwa kutohesabu super deleagates
Hapa kulikuwa na tatizo, kwamba, Sanders alipoingia katika uchaguzi alijua sheria zinazotumika
Ni zile zilizomuengua Hillary alipogombea na Obama. Kumbuka Obama alikuwa na super delegates wachache waliomuunga mkono. Kadri muda ulivyosonga walibadili mweleko na kumuunga mkono
Kwavile Demokrasia yao ni pana, Democrats walikataa maombi hayo. Kwamba, kama ipo haja basi sheria hizo zibadilishwe muda ujao na si sasa. Ni sawa na kutaka sheria za mchezo zibadilike wakati mchezo unaendelea. Demokrasia yao ikasema hilo hapana.
Kuhusu emails, hata Democrats wanakiri yalikuwepo maneno mabovu ndani yake.
Hata hivyo, wanachosema ni kuwa hakuna ushahidi kuwa katika sanduku la kura kulikuwa 'rigged'
Ndio maana Sanders na wafuasi wake hawana mahali pa kusema, wapi palikuwa na rigged elections
Kuhusu Demokrasia ya kujiuzulu, mara baada ya leak za habari Debbie Wasseman Schult wa Dem ametakiwa ajiuzulu nafasi hiyo mapema. Kinachosema ni tatizo ni kuwa wakati Sanders analalmika, ilikuwa wakati mufaka wa Debbie kujiuzulu ili kutoa nafasi kutokuwa na malalamiko
Tujuiulize, je hapa kwetu tumefanya hivyo hata kama ni kwa kuchelewa?
Waliosababisha mauza uza wamepongezwa , ndipo tofauti kati yao nasi inapoonekana
Hoja ya Tatu inafuata
Kuhusu upendeleo
Hili nalo linapaswa kuangaliwa kwa upana. Kwanza, malalamiko ya Sanders kuhusu upendeleo yalijikita katika maeneo makuu mawili
1. Kuruhusu chaguzi ziwe open kwa vile Sanders alionekana kufanya vizuri ingawa takwimu hazikubali
2. Kupelekea uchaguzi kwenye mkutano mkuu kwa kutohesabu super deleagates
Hapa kulikuwa na tatizo, kwamba, Sanders alipoingia katika uchaguzi alijua sheria zinazotumika
Ni zile zilizomuengua Hillary alipogombea na Obama. Kumbuka Obama alikuwa na super delegates wachache waliomuunga mkono. Kadri muda ulivyosonga walibadili mweleko na kumuunga mkono
Kwavile Demokrasia yao ni pana, Democrats walikataa maombi hayo. Kwamba, kama ipo haja basi sheria hizo zibadilishwe muda ujao na si sasa. Ni sawa na kutaka sheria za mchezo zibadilike wakati mchezo unaendelea. Demokrasia yao ikasema hilo hapana.
Kuhusu emails, hata Democrats wanakiri yalikuwepo maneno mabovu ndani yake.
Hata hivyo, wanachosema ni kuwa hakuna ushahidi kuwa katika sanduku la kura kulikuwa 'rigged'
Ndio maana Sanders na wafuasi wake hawana mahali pa kusema, wapi palikuwa na rigged elections
Kuhusu Demokrasia ya kujiuzulu, mara baada ya leak za habari Debbie Wasseman Schult wa Dem ametakiwa ajiuzulu nafasi hiyo mapema. Kinachosema ni tatizo ni kuwa wakati Sanders analalmika, ilikuwa wakati mufaka wa Debbie kujiuzulu ili kutoa nafasi kutokuwa na malalamiko
Tujuiulize, je hapa kwetu tumefanya hivyo hata kama ni kwa kuchelewa?
Waliosababisha mauza uza wamepongezwa , ndipo tofauti kati yao nasi inapoonekana
Hoja ya Tatu inafuata