Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Mkusanyiko huo unaweza kuvunja rekodi iliyowekwa na wanaIringa na Moshi. Inapendeza sana kwa kweli.
Kwani wote hao ni wapiga kura?Kama ni hivo basi imbombo ngafu
Mkusanyiko huo unaweza kuvunja rekodi iliyowekwa na wanaIringa na Moshi. Inapendeza sana kwa kweli.
Kumbe na wewe umeishutukia mana mwaka 2005 ulipokuwa unapiga kura kwa Mgombea mwingine ukikunja inaamia kwa KIKWETE
Hata mimi naona hiyo ina ujumbe tosha kuwa wananchi washashtukia zawadi za siku moja ya kampeni then wanasubiri tena miaka 5. Watu wa Kyela wao wanasema Bye bye JK na Bajaji Zako!!!!
ebwanaaaaa eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh Mungu kweli amesikia kilio chetu sisi walala hoi, kwa umati huu ni dhahiri shahiri CCM wamefulia mwaka huu, heko wana mbeya kwa kumsupport RAIS DR SLAA, kweli mmedhihilisha kuwa SIASA YA KWELI IKO MBEYA, siku ya kupiga kura atr 31 oktoba mjitokeze zaidi ya hapo ili tuwang'oe hawa MFISADI.Peoplesssssssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.
Yaani kwa akili yako yakawaida tu unaona hao siyo wapiga kura??Kwani wote hao ni wapiga kura?Kama ni hivo basi imbombo ngafu
sawa mtoto wa makambahehehehehehe... uwingi wa watu katika mkoa wa mbeya ndio unawapa matumaini ataingia ikulu.. anways tusubiri october 31st
Aisee! Is it?
Kweli bwana, tunataka Maggid atoe tathimini yake tena, maana alisema Slaa hakubaliki mikoa ya kusini. Atwambie wakati wa Kikwete kulikuwa na umati huo? Na ukizingatia hawa hawakuletwa na magari. Kazi ipo kwa CCM mwaka huu.
Walikuwa wanadai kuwa watu wanafuata helkopta, hapa mbona siioni? badala yake wanamshangilia yeye.
Yes it iz!
Hao jamaa hapo wako kikazi zaidi, usifikiri hawajajiandikisha, wana shahada za kura hao. Si unaona wanavyopinga khanga na pombe.