Nimeambiwa hapa ni Uyole
hehehehehehe... uwingi wa watu katika mkoa wa mbeya ndio unawapa matumaini ataingia ikulu.. anways tusubiri october 31st
Kazi iliyopo na ni kubwa ni kulinda kura jamaa nasikia wameandaa karatasi za kichina.
Nimependa bango, Khanga, Tshirt, Kofia na POMBE si mahitaji ya watanzania! Hahahahahahaahha Kiwete lazima aanguke
Majjid anasemaje kuhusu umati huu?
Nimeambiwa hapa ni Uyole