kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
mwananchi ya leo;dk alisema najua ntalaumiwa kwakufanya maamuzi magum yakuwaengua baadhi ya wagombea kwakuvunja maadila lakini kumbukeni sisi tunakemia ufisad lazima tujitahd sana kwani tumetia haibu, mm pamija na maovu ya ccm yote, katika mkutano mkuu wa vijana wao uvccm dodoma 2008 hakuna aliekuwa na silaha kama visu ambavyo leo asubuhi walinzi wetu wamevikamata hapa.lazima tuwemakini.