Kwani lazima kuwepo ndani ya CDM,Chadema ni chama makini sana mpango wowote wa kusambaratisha chama hautafanikiwa kamwe....
Ndugu yangu ,
Narejea kikao chetu cha leo ubungo blue pearl hotel.
Nakushauri kuwa msimamo wako wa kujitoa ndani ya chama hauna manufaa yeyote kwa sasa.
Unakumbuka malengo yetu ya muda mrefu,hebu kaa na tafakari kwa kina kirefu kwani kama nilivyosema mchana na sasa narudia ni kuwa kufanya hivyo ni kujimaliza kwani hawa jamaa watatumaliza sisi waislamu kwani wamewaengua wakristo na kibaya zaidi mchagga tena mkatoliki.
Nimeona nipitie hapa kukushauri ili tuende salama haswa baada ya kukataa ushauri wangu leo mchana hotelini.
Tutafakari kwa kina kabla ya kuamua Habib.
NImeongea na PROF safari anasema kwa misingi hiyo atatupinga hadharani.
Wadau naombeni ushauri.
Mbona sielewi hapa?? Kwani Mchange anajiengua? Au ni rafu za wapinzani wake ndani ya chama wanamharibia?
Ndugu yangu ,
Narejea kikao chetu cha leo ubungo blue pearl hotel.
Nakushauri kuwa msimamo wako wa kujitoa ndani ya chama hauna manufaa yeyote kwa sasa.
Unakumbuka malengo yetu ya muda mrefu,hebu kaa na tafakari kwa kina kirefu kwani kama nilivyosema mchana na sasa narudia ni kuwa kufanya hivyo ni kujimaliza kwani hawa jamaa watatumaliza sisi waislamu kwani wamewaengua wakristo na kibaya zaidi mchagga tena mkatoliki.
Nimeona nipitie hapa kukushauri ili tuende salama haswa baada ya kukataa ushauri wangu leo mchana hotelini.
Tutafakari kwa kina kabla ya kuamua Habib.
NImeongea na PROF safari anasema kwa misingi hiyo atatupinga hadharani.
Wadau naombeni ushauri.
is that I am missing something out here, kwani kulikuwa na uchaguzi wa ma-imam na mamullah au mashemasi na maaskofu? Kila sehemu ni dini dini... and on it goes. Kweli hata wasomi wenye akili timamu mmekubali kuimba chorus ya chama cha magamba!kwani aliyeshika nafasi ya pili ni dini gani? kwanini tusiamini mtu ameshindwa kwa merit badala ya kusingizia dini?
Uchaguzi Bavicha utatoa picha halisi kwa chama kiwango cha vijana kiupeo wa siasa na chama kifanye nini kurekebisha na kuanza utaratibu wa kuelimishana maana ya siasa na nafasi ya vijana ktk siasa.wengi tunadhani tumeiva kisiasa sabab tu tunaweza kujenga hoja.ninachoona kwa wengi walioshindwa Bavicha hata waliokubali kushindwa wanachomekea na vijembe kiaina kujenga taswira mpya ya cdm ili ku justify kushindwa kwao au tuhuma dhidi yao.wengi ni vijana wadogo sana wanaohitaji utulivu na kujipanga zaidi maana wakati haujawatupa mkono kuna future nzuri tu huko mbele.panakuwa na maneno ya chinichini mpaka unashangaa hawa ndo walitaka kuwaongoza wenzao? Tena wengine kama wamekata tamaa! Nadhani wengi waligombea kama employment oppurtunity fulani na kwa kuji asses wakaona ni the best hivyo kutokuwepo hata kwenye shortlist ni usaliti mkubwa! Hatutaki ya uvccm wanaotaka kutoka watoke na cdm haifanyi siasa za ccm zinazoshindwa.Ben nilisoma majibu yake humu si mabaya lakini si mazuri pia!ukiunganisha dot utajua nini anafikiri! Vijana wenzangu,siasa ktk mazingira magumu ya utawala wa ccm ni ngumu sana,viongozi wanapata wakati mgumu kuchambua pumba na mchele na hata pengine kuweza kusababisha makosa!Ben kama tatizo ulionekana ni pandikizi muda unao,dhihirisha ww ni tz damu! Epukeni kauli zitazowagharimu popote mtapokwenda hata iwe ccm! Vijana tupambane kujenga chama palipo bomoka tupajenge na si ndio maana ya kujenga chama?otherwise tumikeni vibaya sasa na uishi na dhambi hiyo itayofahamika na wa tz milele yote na haitafutika.Ben unaonekana una future nzuri kisiasa jitahidi kuwa mtulivu zaidi bila kufungamana na yeyote na piga hesabu zako kwa hekima utaona matunda yake otherwise utapotea kama ulivyoibuka! Kila lakheri vijana wenzangu kuweni makini maana wakati ni wenu msidanganywe kwa karanga za kuönjeshwa mkatema big G.Tunaomba utusaidie sisi ambao hatuwepo nanyi mchana ulipomshauri asijitoe kwenye chama,
Binafsi namkubali sana Habib,ningependa kujua grounds za yeye kutaka kujitoa ili aweze kushauriwa. Hatuwezi shauri bila kujua kwanini anataka kufanya hivyo...!!!
- kwanini Habib anataka kujiuzulu,wewe umemshauri asijitoe kwa misingi ipi?
- kwanini Proffesa Safari amchane,si kila mtu ana uhuru wa kuwa mwanachama wa chama fulani anachoona yeye ni sawa?
- unataka kutuambia kwamba CHADEMA watu wakitofautiana hawana namna ya kutatua tofauti zao kiofisi hadi iwe kwenye majukwaa?
ah,kumbe unaleta umbeya humu! ndio walewale...:nono: nenda facebook