Dr. Kitila Mkumbo aipa ITV hadhi ya Television ya Taifa

Yaani nikiangalia speech za nyerere ndo napoonaga kua sasa hivi hatuna viongozi yule jamaa alikuaga kichwa na aliona mbali na alijua kua kuna viongozi ndani ya ccm watakaokiharibu chama and boy was he soo right
 
kitila ni maskini wa mawazo huwezi kuongoza kongamano la mawazo ya upande mmoja na ushabiki kiasi hiki hawa ndo wanaowatia ujinga vijana na kuwapa matumaini hewa, umoja wa kitaifa haujengwi hivyo kw Kejeli cjaona mawazo mapya tena na wasomi wengine wa chuo kikiongea pumba kbs, mfano kitila kutaka tbc kuonyesha kongamano hilo huku akijuwa kunA kilele cha mbio za mwenge na mh, raisi akihutuhutubia taifa .sasa cjuwi ni dharau au umaskini wa mawazo? atajaza mwenyewe.

kweli we unambowa.
 
Wakati mwingine ni vyema kuwa kimya ukaonekana unabusara! Useless topic Dr Kitila ni philosopher wa ukweli hana woga amesema alichokiamini! Meza AMA uteme
 
Ni kweli ITV inapaswa kupongezwa kwasababu hutangaza mambo mengi ambayo TBC imekuwa ikiyapiga chenga kwa kuhofia

kilichompata Tido Mhando. Tangu Muhando aondoke nikama TBC imelaaniwa na kukosa hadhi wala thamani miongoni mwa

watanzania walio wengi.
 
Nashangaa watu kutaka kuitumia vibaya siku ya mwalimu kufanya siasa au kuendeleza malumbano yasiyo na faida kwa nchi yetu. Kama ITV wakiamua kurusha makongamano ya Kitila Mkumbo Live na hii si mara ya kwanza hiyo ni ridhaa yao. Lakini kwenda mbali na kutaka kuwaghiribu wa Tanzania kuamini eti ITV ni ya Kitaifa zaidi hayo ni mambo ya mtu bunafsi anayesema hivyo na anajua anachokifanya. Si vema watu kutaka kuharibu hii siku muhimu ya Baba wa Taifa.

hoja dhaifu kutoka kwa mtu dhaifu mwenye fikra dhaifu.

nani asiyejuwa kama magamba hampendi watu waseme ukweli?

jinyonge basi! yote yaliyojadiliwa wewe hukuyasikia, na umesikia hilo la itv na tbccm tu?
 
Unataka kusema kuwa Nyerere anatakiwa aenziwe kwenye majukwaa yanayosimamiwa na makada wa CCM pekee?
au wale waoga wanaoficha?
Au una maana gani?

Hata sie tusio na vyama tuna macho na tunajua Tanzania ni nchi yetu.
tunaona udhaifu wa watu wanaokua kwenye public wawe wa CCm au vyama vya upinzania, pia tunaona mambo mema wanayofanya (from citizen's view)

Nimefurahi sana kuwa imesemwa mara nyingi sana leo kuwa hati miliki ya nchi ni ya wanachi wote.
sie nanyie wenye vyama vyenu vya siasa.
Ni kweli,
Tuna haki ya kumuenzi Baba wa Taifa, hakuna wa kutupa hio haki.
tuna haki ya kufurahia vilivyomo, hakuna cham awala rais wa kuturuhusu
tuna haki ya kushiriki mabadiliko, hakuna wa kumuomba ruhusa
Hata Kitila Mkumbo ana haki ya aliofanya leo. ahkuna mwenye haki ya kuamua staili ya kumuenzi baba yetu
cha maana kleo vijana waamke, sisi dada na kaka zao tumechelewa kidogo, ila na wao wasituige kizazi chetu.
mimi kujiwakilisha mwenyewe, kama mtu ninaepita umri wa ujana, niko tayari kuwaunga mkono vijana wenye stamina, siko tayari kuwashikilia wazee wasio na vision.
 
sawa ITV ni Television ya kitaifa, lakini swali taifa lipi? Au mzee Mengi ameachana na hii biashara. Apa mtufafanulie jamani tunapata maswali na itabidi tuwe makini sasa. Kumbe ndo maana. Nakumbuka kuna mtu alikwisha uliza makongamano ya Katiba ambayo yalikuwa yanaandaliwa na Kitila Mkumbo hapo Nkurumah Hall na kurushwa Live ITV siku nzima wakati huyo bwana Mkumbo akiwa kiongozi wa Udasa. Sasa hapa huu mjadala wa ITV nadhani unafika patamu endeleeni kunielimisha zaidi. Lakini ukweli utabaki pale pale television ya Taifa ni TBC hata kama unaishukia waTanzania tutaendelea kuiangalia. Mkubo mwenyewe na LWEITAMA kila UKIFUNGUA THIS WEEK PERSPECTIVE UTAWAKUTA.
Acha kutoa hoja dhaifu!. Kitendo cha TBC kupendelea CCM badala ya kusimamia utaifa ndicho kinachopigiwa kelele!. TBC kupoteza mvuto hakuwezi kukuzuia wewe kuishabikia wakati wengine wanachukizwa. TBC ni msiba na janga la taifa!
 
Badala muwe na Chadema Tv mnalialia Kama watoto.Katibu mkuu kajenga Hekalu kuliko Makao Makuu ya Chama chenu.Nikipitaga pale Makao yenu utafikiri Banda la KUKU.

chama sio jengo,mbona ccm imekimbiwa ila huwa tunaenda uwanja wao kuangalia mpira na pia ofisi ya wakili wangu Alute Mhughwai napanda jengo lao lenye green hapa arusha..chadema ipo mioyoni mwenu/mwetu.
 
Acha kupanic wewe! Hata baba wa taifa ange kuwepo asinge furahishwa na tbccm kabisa!

Una hitaji kupofuka kuto liona hilo

we sijui ni m.s.h.a.n.a
kwanini utetee kibovu?

Nashangaa watu kutaka kuitumia vibaya siku ya mwalimu kufanya siasa au kuendeleza malumbano yasiyo na faida kwa nchi yetu. Kama ITV wakiamua kurusha makongamano ya Kitila Mkumbo Live na hii si mara ya kwanza hiyo ni ridhaa yao. Lakini kwenda mbali na kutaka kuwaghiribu wa Tanzania kuamini eti ITV ni ya Kitaifa zaidi hayo ni mambo ya mtu bunafsi anayesema hivyo na anajua anachokifanya. Si vema watu kutaka kuharibu hii siku muhimu ya Baba wa Taifa.
 
Mfumo wa uendeshaji utabadilika!


Jamani hata mkiwa CHADEMA ipendeni nchi yenu. Hata CHADEMA ikichukua nchi haina ubavu wa kuja kutuletea vitu vyao watatumia vitu vilivyopo tulivyovizoea. Hakuna mwanasiasa anayeweza kuja kupindua maisha ya wa Tanzania
 
Jamani hata mkiwa CHADEMA ipendeni nchi yenu. Hata CHADEMA ikichukua nchi haina ubavu wa kuja kutuletea vitu vyao watatumia vitu vilivyopo tulivyovizoea. Hakuna mwanasiasa anayeweza kuja kupindua maisha ya wa Tanzania
Wewe endelea kulala tu, ukiamka utanijulisha
 
TBC ni janga lingine la Taifa....Alichosema DrMkumbo ni kweli...! Wakishinda wapinzani, TBC ni moja ya taasisi ya kuvunjwa na kuitengeneza upya.

TBC ni kibaraka....TBC ya kweli ni wakati wa TIDO MUHANDO


Katiba mpya iwape wana nchi uwezo wa kuamua taaasisi ambazo zinastahili kutumia kodi ya watanzania kwa maslahi ya taifa.
 
Mapovu ya nini sasa?

Nimemsikia JK kupitia TBC ametaja jina la Mwalimu Nyerere mara mbili tu!

Hawezi kulitaja jina la Mwalimu Nyerere kwa moyo wake wote kwasababu ya madudu anayoyafanya ambayo hayaendani na mafundisho ya Mwalimu kwa jamii ya waTanzania. Mwalimu aliamini kuwa Taifa letu linaweza kuendelea kama tutakuwa na umoja wa dhati irrespective ya dini,rangi na kabila za watu; lakini leo huyu mkweree anatumia kuwagawa watu kwa misingi ya dini zao kama turufu yake ya kutaka kudumu madarakani!! Hivyo basi hawezi kumtaja sana Mwalimu kwasababu ya unafiki anaouendeleza wa kiuliangamiza Taifa lililojengwa na hayati Mwalimu kwa umakini sana.
 
Hawezi kulitaja jina la Mwalimu Nyerere kwa moyo wake wote kwasababu ya madudu anayoyafanya ambayo hayaendani na mafundisho ya Mwalimu kwa jamii ya waTanzania. Mwalimu aliamini kuwa Taifa letu linaweza kuendelea kama tutakuwa na umoja wa dhati irrespective ya dini,rangi na kabila za watu; lakini leo huyu mkweree anatumia kuwagawa watu kwa misingi ya dini zao kama turufu yake ya kutaka kudumu madarakani!! Hivyo basi hawezi kumtaja sana Mwalimu kwasababu ya unafiki anaouendeleza wa kiuliangamiza Taifa lililojengwa na hayati Mwalimu kwa umakini sana.
kila akifikiria kulitaja jina la mwalimu anahisi anameza sindano au wembe vile. Na kama kalitaja mara mbili bs kajitahidi sana. (hivi siku hizi haanguki ovyo)
 
sawa ITV ni Television ya kitaifa, lakini swali taifa lipi? Au mzee Mengi ameachana na hii biashara. Apa mtufafanulie jamani tunapata maswali na itabidi tuwe makini sasa. Kumbe ndo maana. Nakumbuka kuna mtu alikwisha uliza makongamano ya Katiba ambayo yalikuwa yanaandaliwa na Kitila Mkumbo hapo Nkurumah Hall na kurushwa Live ITV siku nzima wakati huyo bwana Mkumbo akiwa kiongozi wa Udasa. Sasa hapa huu mjadala wa ITV nadhani unafika patamu endeleeni kunielimisha zaidi. Lakini ukweli utabakali pale pale television ya Taifa ni TBC hata kama unaishukia waTanzania tutaendelea kuiangalia. Mkubo mwenyewe na LWEITAMA kila UKIFUNGUA THIS WEEK PERSPECTIVE UTAWAKUTA.

nasita na kuchelea kusema si mtanzania halisi wala mzalendo.matakwa ya umma yanatakiwa kushughulikiwa na umma.TBC ni chombo cha umma na si cha mtu binafsi kibiashara.Ni jambo la kusikitisha kutaka kuipotosha tafasiri nzuri ya mkumbo kuhusu TBC one, inaonyesha nawe ni muungano wa mafisadi wasiopenda kuambiwa ukweli , siku zote kupotosha haki na ukweli kwa maslahi ya taifa.Kongamano lililokuwa linafanyika nkurumah hall halina chembe ya uchama bali taifa kujadili msitakabari wa taifa hili nmana tunavyomuenzi baba wa taifa hasa vijana.Kwahiyo TBC one ndo kilikuwa chombo cha habari maridhawa na sitahiki kutumika kurusha bure , sababu sote watanzania ni walipa kodi kuindesha taasisi hiyo.sasa inapofikia masuala ya kitaifa kama kongamano hilo TBC1 kusita na wala kutojihusisha kutoa mchango wake , inatia shaka kuona kama ipo kwa maislahi ya watanzania, bali watawala.haleti mantiki kwa chombo cha habari binafsi kuruhusu kurusha bure huku tbc one kujiweka kando bila kujali , ni ufisadi mwingine kwenye masilahi ya umma, hasa kwa watanzania, wapenda tija ya msikabari wa maisha yao.Ndugu yangu jitahidi kuchanbua hoja kwa kina bila kuwa mshabiki wa kisiasa kwa sababu ni dr.mkumbo bali mantiki ya hoja ya mkumbo.
 
Back
Top Bottom