Dr. Kitila Mkumbo aipa ITV hadhi ya Television ya Taifa

TBC ni janga lingine la Taifa....Alichosema DrMkumbo ni kweli...! Wakishinda wapinzani, TBC ni moja ya taasisi ya kuvunjwa na kuitengeneza upya.

TBC ni kibaraka....TBC ya kweli ni wakati wa TIDO MUHANDO
 
TBCCM inatumia kodi zetu kueneza propaganda za chama chao. Hakuna tofauti ya TBC, Uhuru na Mzalendo.Kwahiyo media yoyote inayotoa fursa sawa kwa Watanzania kupata habari bila upendeleo ina UVAA Utaifa kama Nyrere alivyo kuwa hakumbatii kijani na njano (Leo anaitwa baba wa taifa hakuna anayebisha)
 
sawa ITV ni Television ya kitaifa, lakini swali taifa lipi? Au mzee Mengi ameachana na hii biashara. Apa mtufafanulie jamani tunapata maswali na itabidi tuwe makini sasa. Kumbe ndo maana. Nakumbuka kuna mtu alikwisha uliza makongamano ya Katiba ambayo yalikuwa yanaandaliwa na Kitila Mkumbo hapo Nkurumah Hall na kurushwa Live ITV siku nzima wakati huyo bwana Mkumbo akiwa kiongozi wa Udasa. Sasa hapa huu mjadala wa ITV nadhani unafika patamu endeleeni kunielimisha zaidi. Lakini ukweli utabaki pale pale television ya Taifa ni TBC hata kama unaishukia waTanzania tutaendelea kuiangalia. Mkubo mwenyewe na LWEITAMA kila UKIFUNGUA THIS WEEK PERSPECTIVE UTAWAKUTA.
 
Yani inakera ITV ndo ilitutoa matongotongo ya television hapa tz lakini kila siku yarudi nyuma kazi kufukuza wafanyakazi tu!! ilitakiwa toka ilipoaanza miaka ile ya 90 mpaka leo iwe imesambaa nchi nzima lakini wapi??? Kama tatizo ni fedha au inafanya kwa hasara wauze share bana! siku hizi hata huku arusha sometimes kuipata tabu! hawa wakurugenzi wake vipi bana!! kazi kula tu hawana vision mnashindwa na wapiga disko wa clouds wanaonyesha progress. Mnaudhi bana.

Nijuavyo, tatizo si pesa tu, ila kuna sheria ilikuwepo(sina hakika km ipo bado) iliyozuia tv na radio binafsi kuwa na coverage nchi nzima!
 
Jamani hata mkiwa CHADEMA ipendeni nchi yenu. Hata CHADEMA ikichukua nchi haina ubavu wa kuja kutuletea vitu vyao watatumia vitu vilivyopo tulivyovizoea. Hakuna mwanasiasa anayeweza kuja kupindua maisha ya wa Tanzania
 
Nashangaa watu kutaka kuitumia vibaya siku ya mwalimu kufanya siasa au kuendeleza malumbano yasiyo na faida kwa nchi yetu. Kama ITV wakiamua kurusha makongamano ya Kitila Mkumbo Live na hii si mara ya kwanza hiyo ni ridhaa yao. Lakini kwenda mbali na kutaka kuwaghiribu wa Tanzania kuamini eti ITV ni ya Kitaifa zaidi hayo ni mambo ya mtu bunafsi anayesema hivyo na anajua anachokifanya. Si vema watu kutaka kuharibu hii siku muhimu ya Baba wa Taifa.

TBC wanajiaibisha wenyewe....Matukio Mengi tu ya kitaifa hawarushi na wapo so biased ...
 
Jana tbc waliweka clip ya kamanda Barlow akikemea vurugu na maandamano, ili ionekane ameuawa kisiasa, hasa na Chadema.
 
kitila ni maskini wa mawazo huwezi kuongoza kongamano la mawazo ya upande mmoja na ushabiki kiasi hiki hawa ndo wanaowatia ujinga vijana na kuwapa matumaini hewa, umoja wa kitaifa haujengwi hivyo kw Kejeli cjaona mawazo mapya tena na wasomi wengine wa chuo kikiongea pumba kbs, mfano kitila kutaka tbc kuonyesha kongamano hilo huku akijuwa kunA kilele cha mbio za mwenge na mh, raisi akihutuhutubia taifa .sasa cjuwi ni dharau au umaskini wa mawazo? atajaza mwenyewe.
 
Wakati mwingine ni vyema kuwa kimya ukaonekana unabusara! Useless topic Dr Kitila ni philosopher wa ukweli hana woga amesema alichokiamini! Meza AMA uteme
 
Kosa la Dr Mkumbo liko wapi hapo? Kwani ni uongo kusema kuwa ITV ni television ya taifa? ITV siku zote wamekuwa nambari one ktk kutoa elimu ya urai kupitia makongamano mbali mbali; unakumbuka vipindi vilivyokuwa vinaendeshwa na prof Shivji? Malumbano ya hoja zenye kuelimisha umma?...ITV imekaa kizalendo zaidi wakifuatiwa na Star TV.... TBC1, TBC, Uhuru Fm Zinakara watanzania ...ukweli utabaki kuwa ukweli daima...
 
Muanzisha uzi ana matatizo ya akili au ni mwanamtandao kwani alichokisema Dr. Kitila ni cha kuhoji wakati ukweli upo wazi angalia hata habari zao ubaguzi,ukada na woga wa kutetea haki. Mshana aliyepewa nafasi kwa upendeleo ataruhusu majadiliano ya wazi kama Tido Mhando?
 
Jamani hata mkiwa CHADEMA ipendeni nchi yenu. Hata CHADEMA ikichukua nchi haina ubavu wa kuja kutuletea vitu vyao watatumia vitu vilivyopo tulivyovizoea. Hakuna mwanasiasa anayeweza kuja kupindua maisha ya wa Tanzania

Inaonesha wewe ni raia wa kigeni bali jina la MWAISOBA umechukua la wajomba zako baada ya babako kukukataa, hakuna mnyakyusa ana mawazo ya ajabu na ya kitoto kama wewe!
 
Kiukweli na tukiacha unafiki tbc imepoteza sifa na haistahili kuitwa tv ya taifa kwakuwa imekuwa zaidi upande wa ccm badala ya kusimamia taifa zima. Namunga mkono dk mkumbo tbc haina hadhi kuwa tv ya taifa ila itv ingawa sio ya taifa ila inaviwango vya kuwa ya taifa
 
nachowafurahia ITV ni huu mpango wao mahsusi wa ku-sync matangazo ya TV na redio,

ni mzuri mno kwa sababu wanafikia hadhira kubwa sana, hasa kwa njia ya redio kwa kuwa Watanzania wengi, hasa wa vijijini hawana access na TV.

Very true
 
nachowafurahia ITV ni huu mpango wao mahsusi wa ku-sync matangazo ya TV na redio,

ni mzuri mno kwa sababu wanafikia hadhira kubwa sana, hasa kwa njia ya redio kwa kuwa Watanzania wengi, hasa wa vijijini hawana access na TV.
Mkuu Ng'wanangwa
Hapo kwenye red and Bold we lazima utakuwa na same Taaluma kama yangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom