Ni baada ya kukubali kurusha kongamano la vijana kuhusu mwl Nyerere.
Kasema kuwa TV ya taifa sio lzm gari lako liwe na SU au STK, bali matendo.
Ni baada ya kukubali kurusha kongamano la vijana kuhusu mwl Nyerere.
Kasema kuwa TV ya taifa sio lzm gari lako liwe na SU au STK, bali matendo.
Naunga mkono hoja,ile tbccm wao walikuwa wanaonesha kitchen part na harusi.
Na zilivyotokea vurugu mbagali za wale wavaa pedo itv walituleteaa mahojiyano ya live kati ya shehe wa mkoa wa dar,kova na mkuu wa mkoa na wakati kuo tbccm walikuwa wanarusha mziki .
Ndo kusema tv ya taifa ni ITV NA STAR TV!
Ni kweli lakini kwa nini wasiuze share kama presion air au crdb kwa watu wengine ili ifunge mitambo yake nchi nzima!!!! yani huwezi amini moro na bukoba ndo wamefungiwa juzi!!!!
IPP kama pesa ushapata bana fanya mpango itv iwe ya watu bana! watu wa karibu kamshaurini huyu mzee Mengi.. yule dada pale anamlia pesa tu aampi mawazo endelevu!
Swala la kusambaa ni pesa au leseni?
Badala muwe na Chadema Tv mnalialia Kama watoto.Katibu mkuu kajenga Hekalu kuliko Makao Makuu ya Chama chenu.Nikipitaga pale Makao yenu utafikiri Banda la KUKU.