Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
3:Ndodi ana uzoefu na kazi ile sana, anachukulia kwamba akikwambia kitu mara moja utaelewa, vinginevyo kama unauliza sana tafuta muda private, si wakati akiwa na foleni ya watu nje!(Najua hii ni unprofessional kidogo, lakini na tukumbuke kuwa anahitaji kuzingatia muda ili aweze kufidia gharama za kupata dawa na kulipia kodi zote zinazomwangukia).
Nashukuru kwa hayo maandishia meusi zaidi mjadala wangu umeisha..nilitaka nawe uelimike anachofanay sio na rohomtakatifu kaamua kukuonyesha mwenyewe kila la kheri Pk
Nashukuru kwa hayo maandishia meusi zaidi mjadala wangu umeisha..nilitaka nawe uelimike anachofanay sio na rohomtakatifu kaamua kukuonyesha mwenyewe kila la kheri Pk