Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,847
- 2,669
Nadhani wadau wengi humu mtakuwa mmeshamsikia au kumwona huyu bwana machachari ambaye ni dokta, mchungaji, mshauri, mwalimu, n.k. binafsi napenda kumsikiliza kila wakati anapotoa mada hasa ukichangia na ile spidi yake ya kuongea bila kukosea. tatizo lake ni mtu ghali sana linapokuja suala la matibabu. zaidi ya kumwona kwenye kioo, kuna ya ziada juu yake? tumzungumzie kwa wema tu kwani ni mtume yule