Dr. Isaack Ndodi: Hisia mchanganyiko

how can i joke kwa ishu serious kama hii mkuu! Ni kweli kabisa last year alikuwa nayo nashangaa siku hizi haipo. Mi ni msikilizaji mzuri wa mada zake. We unadhani anatoa wapi pesa ya kuwa na vipindi vya one hour live tv stations mbili kila wiki. This man is making a lot of money!

amewapiga sana watu wengi maana ukiongea nae alikuwa aongei si chini ya dk kumi na kila sasimu u can imagine..unajua atrukatai ujasiriamali ila yule anavyojitambulisha mtumishi wa mungu tena ananukuu vifungu ila kwa style hii namshauriatangaze kibiashara zaidi kuliko kumuhusish mungu n a bishara zake..akuna sehemu mungu anasema watumishi wake wakawaudhi watu..zab anasema bora jiwe lifungwe shingoni mwake yule amuudhie mwenzie ameudhi wangapi na kibaya zaidi asemi hata sh ngapi watu wajue wanaendaje ama wasiende kabisa ..unakuta mtu ndio hela ya matumizi wikinzima..anayway si wote najuwa kuna pk wengi lakini anaitaji msaada wa kiroho sana sana angekuwa ni mtu wa mungu amwige father nkwera ...na kuwaponya watu akuna senti anayoombaa..na watumishi wa bwana wengi tu..hii kujua mizizi ya dawa na kufanya watu wautafute ufisadi kinguvu mbaya sana sana..sidhan n mapenzi ya mungu ndodi kutibu matajiri peke yake ..hili alisikie na aliefanyie kazi mr ndodi tunapenda ushauri wako mzuri kipindi chako na tunaomba sikia na hili letu.....
 
Maisha na mali za wananchi wote katika taifa la Kiislamu huchukuliwa kuwa ni vitukufu, iwe mtu huyo ni Muislamu ama la, Uislamu unalinda heshima pia. Hivyo, katika Uislamu, jambo la kuwatukana wengine na kuwakejeli haliruhusiwi. Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Hakika damu zenu, mali zenu na hadhi zenu ni tukufu.)) [100]


My Take.

Ukishasema ukweli toa ufumbuzi au njia ya kuweza kutatua tatizo la mtu na sio kumkejeli "masikini" hakuna tajiri duniani yote haya tunayaona mwenyewe ni Mungu dakika tu unaweza kufilisik
a.

Sina matatizo na hapo kwenye BLUE KABISA...MAana sitabishia dini yako.. ha hahaaaa!

Ila hapo kwenye RED nina la kusema!...Ufumbuzi ndo kama hivi amekuja hapa...sio lazima aupate kwangu..si umeona hapo juu watu wametoa options nyingine?
 
wajinaga ndio waliwao. nani kakuambia ndondi ni daktari???. Ndondi kasomia ualimu, baada ya maisha ya ualimu kumshinda akakimbilia kudangaya watu. kuweni na akili jamani, udaktari ni fani za watu.
 
PJ, wakati kwenye hoja yako kuna point zenye ukweli lakini nasikitika ulivyoijibu hoja hapa hukuzingatia facts za Pdidy.....! angalia Msindima alivyoweka vizuri hoja ya Pdidy! Of all the people I didn't expect this from you bro.....anyway siku moja moja tunaweza kuteleza!

Pili, wewe Pdidy hujamfanyia diagnosis mgonjwa wa Pdidy unaweza kutamka kwa uhakika hivyo hayo maneno niliyohighlight hapo juu? unless wewe ni Dr. Ndodi, ambaye hata aliweza kumwona mgonjwa yule ndo unaweza kutoa kauli hiyo yenye kujiamini na uhakika hivyo! Uhakika unautoa wapi wewe? si Dr. uliyemwona mgonjwa yule, si Dr. Ndodi....how can you be that sure kuwa ati angelipa 3m angepona?

Tatu, PJ labda mwenzetu ni matawi ya juu fulani, mimi nipo kwenye average income earning people, kutoa Tshs 3m kufanya matibabu ka mara moja sio kitu kidogo kabisa, labda uwe na insurance cover, hii ni hela nyingi sana kuitoa kwa mara moja mkuu......! Dr. Ndodi kama kweli ana nia ya kusaidia watu aliangalie vizuri hii la gharama za matibabu! Na kama kweli ana dawa hizo zinazotibu magonjwa yanayotusumbua kila siku, sidhani input costs za kutengeneza dawa hizo zinaweza kujustify gharama za matibabu anazocharge! Huyu anatengeneza margin kubwa sana hapa, anajivunia ''MONOPOLY'' kwenye aina ya dawa anazotumia kuwaumiza wananchi.....! he is supposed to be fair kwa kweli!



Ubarikiwe Msindima on this post.....
!


BLUE
Kama shida yangu ni jinsi ya kutamka naomba nisamehewe...Lakini the fact remains!...Wengine tulikulia machungani! ha ha haaa!

RED
mKUU,
kAMA SHIDA NI KISUKARI, huu ugonjwa unatibika na Ndodi kama mchezo..
Tofauti ya ngonjwa na mgonjwa itakuja kutokana na tiba alizojaribisha kuzitumia awali...kama hakujaribu dawa zozote then ndani ya wiki 15 kisukari ni hadithi!..SIMPLE!

GREEN:
Nikisema kuwa 3M itolewe sina maana mimi nina uwezo nayo tit-for-tat!...ieleweke hivyo...Wanaonijua wanafahamu margin yangu ya income.
Tusilete hisia kwenye ukweli...Ukichagua kwenda kwa ndodi(maana ni option) maana yake ni kwamba unachagua kutekeleza masharti!...malalamishi baada ya hapo hayatakiwi, utakuwa unajikwaza bila kupenda!

Suala la ku'bagain bei jamani lipo...Ndodi huwa anapita mara nyingi mahala nilipo mimi, na huwa anaweka sawa hilo jambo mara nyingi..bei ni maelewano, sio fixed!...Sasa ishu ya kumwomba apunguze pale anapokuwa na foleni, just go into his shoes...ni ngumu kidogo kupata muafaka!
Naombea ningeeleweka!
 
Ugonjwa wa kisukari na pumu hauponeshwi kwa dawa na haijawahi tokea,kama kuna mtu aliwahi kupona sukari/pumu mtajeni!
Magonjwa haya hupona kwa imani tu/MAOMBI ila si dawa acheni kuangaika,watu wanatumia jina la dk visivyo
 
wajinaga ndio waliwao. nani kakuambia ndondi ni daktari???. Ndondi kasomia ualimu, baada ya maisha ya ualimu kumshinda akakimbilia kudangaya watu. kuweni na akili jamani, udaktari ni fani za watu.


Watanzania kwa njia za mkato siwawezi, wewe mgonjwa wa Malaria na Hospitali zipo, kitu gani kinakupeleka kwa Dr Ndondi? jina lenyewe lina kinasaba hatarishi kama Nundu, Kibonde au afande Mku....kuwaka etc, hivi mara hii tayari mmesahau maofisa wasomi wazuri (wastaafu)walivyotapeliwa na DECI? au nendeni kwa MTUME....Mwingira mukaone watu wanavyokosa nauli za kurudia kwao baada ya makongamano yake kule kwake Pwani, kwa kifupi Dr Ndondi endelea na ujasiria mali wako hakuna serikali itakayokuzuia kwani unasaidia kuipunguzia matatizo kwenye hospitali zake
 
[/COLOR]

BLUE
Kama shida yangu ni jinsi ya kutamka naomba nisamehewe...Lakini the fact remains!...Wengine tulikulia machungani! ha ha haaa!

RED
mKUU,
kAMA SHIDA NI KISUKARI, huu ugonjwa unatibika na Ndodi kama mchezo..
Tofauti ya ngonjwa na mgonjwa itakuja kutokana na tiba alizojaribisha kuzitumia awali...kama hakujaribu dawa zozote then ndani ya wiki 15 kisukari ni hadithi!..SIMPLE!

GREEN:
Nikisema kuwa 3M itolewe sina maana mimi nina uwezo nayo tit-for-tat!...ieleweke hivyo...Wanaonijua wanafahamu margin yangu ya income.
Tusilete hisia kwenye ukweli...Ukichagua kwenda kwa ndodi(maana ni option) maana yake ni kwamba unachagua kutekeleza masharti!...malalamishi baada ya hapo hayatakiwi, utakuwa unajikwaza bila kupenda!

Suala la ku'bagain bei jamani lipo...Ndodi huwa anapita mara nyingi mahala nilipo mimi, na huwa anaweka sawa hilo jambo mara nyingi..bei ni maelewano, sio fixed!...Sasa ishu ya kumwomba apunguze pale anapokuwa na foleni, just go into his shoes...ni ngumu kidogo kupata muafaka!
Naombea ningeeleweka!

kijana ndondi mwenyewe kwenye kipindi cha tv cha wiki iliyopita alisema anadawa ya sukari itakayomfanya mgonjwa apunguze matumizi ya dawa ya kila siku na si KWAMBA ITAMALIZA sukari,acha kuwapotosha watu sukari haiponi kwa dawa,dawa zinapunguza dalili na kufanya sukari ikae ktk level yake kwa muda mrefu.
acha kukaririsha watu vibaya na kuwa makini unapotoa taarifa kwa umma especial sensitive issue kama ugonjwa
 
[/COLOR]

BLUE
Kama shida yangu ni jinsi ya kutamka naomba nisamehewe...Lakini the fact remains!...Wengine tulikulia machungani! ha ha haaa!

RED
mKUU,
kAMA SHIDA NI KISUKARI, huu ugonjwa unatibika na Ndodi kama mchezo..
Tofauti ya ngonjwa na mgonjwa itakuja kutokana na tiba alizojaribisha kuzitumia awali...kama hakujaribu dawa zozote then ndani ya wiki 15 kisukari ni hadithi!..SIMPLE!

GREEN:
Nikisema kuwa 3M itolewe sina maana mimi nina uwezo nayo tit-for-tat!...ieleweke hivyo...Wanaonijua wanafahamu margin yangu ya income.
Tusilete hisia kwenye ukweli...Ukichagua kwenda kwa ndodi(maana ni option) maana yake ni kwamba unachagua kutekeleza masharti!...malalamishi baada ya hapo hayatakiwi, utakuwa unajikwaza bila kupenda!

Suala la ku'bagain bei jamani lipo...Ndodi huwa anapita mara nyingi mahala nilipo mimi, na huwa anaweka sawa hilo jambo mara nyingi..bei ni maelewano, sio fixed!...Sasa ishu ya kumwomba apunguze pale anapokuwa na foleni, just go into his shoes...ni ngumu kidogo kupata muafaka!
Naombea ningeeleweka!

Mkuu hapo kwenye bold ya red hapoooo pananitia wasiwasi unakula commission ngapi? ni yeye tu mwenye uwezo wa kutibu kisukari?
 
wajinaga ndio waliwao. nani kakuambia ndondi ni daktari???. Ndondi kasomia ualimu, baada ya maisha ya ualimu kumshinda akakimbilia kudangaya watu. kuweni na akili jamani, udaktari ni fani za watu.

Ni kweli kabisa kuna mtu alimuuliza swali kuwa yeye anamkumbuka ni mwalimu na aliwahi kumfundika akakubali sasa sijui huo u dokta kausokota wapi
 
Kanuni za Utabibu zinasema,utabibu huwa hautangazwi na kamwe hauwezi kuwa biashara kwa sababu ni jambo linahusu maisha ya mtu,Mtu mwenye kisukari hata hospitali za serikali hapaswi kupanga foleni kutokana na kwamba kupanda au kushuka kwa sukari kwa weza kukawa jambo la dharura na hatarishi kwa mhusika sasa huyo Dr.Ndondi ni mfanya biahsara na sijui kama ni Dr aliyesoma vyuo vinavyotambulika kidunia sasa ni mfanya biashara na nchi hii kwa vile ni shamba la bibi mtu yeyiote anaweza akaibuka akasma na tibu pumu,kisukari,ukimwi,ngiri,nguvu za kiume na pasiwe na mtu wa kufuatilia kama kweli dawa atowazo hazina madhara kwa wananchi,ndugu wananchi jichunguzeni sana munapoamua kuwafuata hawa madaktari wanaojitangaza kwenye maredio na ma TV
 
mkuu PK
SABABU SIO HELA TU;ALIMUULIZA INCASE AKUPONA NA HIYO HELA INAKUWAJE AKASEMA
HOSPITALINI UNGEFANYAJE;AKASEMA TUNATAFUTA MBADALA WA DAWA NYINGINE AKAMUULIZA NTALIPIA AKASEMA OOOH YEAH TENA UKIJA UNAANZA NA HII 20 TENA AKAENDELEA AKIWA ANAMWELEZEA SHDA ZAKE AKAMKTAISHA NIMESHASEMA MAMA WE NENDA TAYARISHA MIL 3 WIKI KUMI MZIMA ASIPOPONA TUTAMWANGALIA TENA...PRBLM NI KWANZA AKUWA MSTAARABU KUMSIKILIZA MTU NA KUJALI WALIO NJE AKIINGIZA 20 ALFU NA KWELI KULIKUWA SI CHN YA 30..ANAYWA AWE ANASIKILIZA MAHTAJI YA WATU NIMEWAPELEKA WENGI SANA WAKALALAMIKA JINSI YA TREATMENT WANAYOPATA ACHILIA MBALI PESA ZIKO JUU ..INAUMIZA SANA SANA PK..POLE KAMA UKO KARIBU NAE LKN HATA M NILIKUWA MPENZI SANA WA VIPIND VYAKE

Bwana mzee pole sana,
Lakini hii imekuwa ni tabia ya hawa watu amabo hujitokeza na kupata publicity kwenye radio na TV kwa ajili ya biashara zao. Kunakuwa na tofauti kubwa ya jinsi anavyokuwa akiwa kwenye TV na mara unapokwenda sasa kumfuata.
Kama huyo bwana ana treat hivyo wagonjwa basi ujue yuko kibiashara zaidi, yaani mimi binafsi siwezi kwenda kwa mpuuzi huyo.
 
sina matatizo na hapo kwenye blue kabisa...maana sitabishia dini yako.. Ha hahaaaa!

Ila hapo kwenye red nina la kusema!...ufumbuzi ndo kama hivi amekuja hapa...sio lazima aupate kwangu..si umeona hapo juu watu wametoa options nyingine?

pk nahisi kama ndiowasisi wa deci nini;maana kuna watu wameletwa dunian kuwaliza watanzania tu maisha yao yote nakumbuka deci uliitetea sana na haka kamradi cha ndodi hope uko na kahisa si mbaya sana mnatumizaaaaaaaa lakini
 
kanuni za utabibu zinasema,utabibu huwa hautangazwi na kamwe hauwezi kuwa biashara kwa sababu ni jambo linahusu maisha ya mtu,mtu mwenye kisukari hata hospitali za serikali hapaswi kupanga foleni kutokana na kwamba kupanda au kushuka kwa sukari kwa weza kukawa jambo la dharura na hatarishi kwa mhusika sasa huyo dr.ndondi ni mfanya biahsara na sijui kama ni dr aliyesoma vyuo vinavyotambulika kidunia sasa ni mfanya biashara na nchi hii kwa vile ni shamba la bibi mtu yeyiote anaweza akaibuka akasma na tibu pumu,kisukari,ukimwi,ngiri,nguvu za kiume na pasiwe na mtu wa kufuatilia kama kweli dawa atowazo hazina madhara kwa wananchi,ndugu wananchi jichunguzeni sana munapoamua kuwafuata hawa madaktari wanaojitangaza kwenye maredio na ma tv


yaani muda mchache niliomsoma hana tofauti na mradi wa dowans ..yaani hii nchi kila mtu anakuja kuvuna anachotaka kweli shamba la bibi kazi ipo
 
Who is Ndondi?

Anhaaaaaaaa... yule jamaa anavaaga vitenge afu anaongea kwenye TV huku anameza meza mate?? Sijui anaongeleaga nini maana sijawahi kusikiliza vipindi vyake

Wa-TZ jamani, sawa inawezekana anaponya sijui anatibu au anapunguza... lakini hata ARV zinapunguza makali ya VVU na zinatolewa BURE...
Asitumie kipaji chake au utapeli wake kwa wenye shida jamani... Afu anatumia Baibo vile?? Atachomwa moto wa milele yule
 
Mkuu hapo kwenye bold ya red hapoooo pananitia wasiwasi unakula commission ngapi? ni yeye tu mwenye uwezo wa kutibu kisukari?
Jamani, labda mimi nina coincidence mbaya/ au niite NZURI na huyu mganga...Nina maelezo POSITIVE tu kuhusu huyu mtu...
Shida za watu ni kwamba mnadharau tiba za asili/Mbadala na kuthamini dawa za Hospitali..Mentality mbaya hii!...
Turudi Bustanini Edeni...tiba zote zinapatikana kwenye vyakula vya asili!
 
Sina matatizo na hapo kwenye BLUE KABISA...MAana sitabishia dini yako.. ha hahaaaa!

Ila hapo kwenye RED nina la kusema!...Ufumbuzi ndo kama hivi amekuja hapa...sio lazima aupate kwangu..si umeona hapo juu watu wametoa options nyingine?

Soma kwenye bold nimeweka rangi ya zambarau....... haijaongelea dini ya kiislam tu....

Maisha na mali za wananchi wote katika taifa la Kiislamu huchukuliwa kuwa ni vitukufu, iwe mtu huyo ni Muislamu ama la, Uislamu unalinda heshima pia. Hivyo, katika Uislamu, jambo la kuwatukana wengine na kuwakejeli haliruhusiwi. Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Hakika damu zenu, mali zenu na hadhi zenu ni tukufu.)) [100]
 
pk nahisi kama ndiowasisi wa deci nini;maana kuna watu wameletwa dunian kuwaliza watanzania tu maisha yao yote nakumbuka deci uliitetea sana na haka kamradi cha ndodi hope uko na kahisa si mbaya sana mnatumizaaaaaaaa lakini
Nimekubali na nabii haheshimiki kwao...ha ha haaa!
Dawa za wazungu tunazibabaikia...Za kiasili tunazikandia na kumwita jamaa mjasiriamali/Deci!...
Anyway, ndiyo tulivyopandikiziwa mawazo ya kikoloni haya!
Shauri zenu!
 
Bwana mzee pole sana,
Lakini hii imekuwa ni tabia ya hawa watu amabo hujitokeza na kupata publicity kwenye radio na TV kwa ajili ya biashara zao. Kunakuwa na tofauti kubwa ya jinsi anavyokuwa akiwa kwenye TV na mara unapokwenda sasa kumfuata.
Kama huyo bwana ana treat hivyo wagonjwa basi ujue yuko kibiashara zaidi, yaani mimi binafsi siwezi kwenda kwa mpuuzi huyo.

Mkuu kiraka salam zako kwa Sharifu nimezifikisha anakungojea kwa hamu.
 
how can i joke kwa ishu serious kama hii mkuu! Ni kweli kabisa last year alikuwa nayo nashangaa siku hizi haipo. Mi ni msikilizaji mzuri wa mada zake. We unadhani anatoa wapi pesa ya kuwa na vipindi vya one hour live tv stations mbili kila wiki. This man is making a lot of money!

namba yenyewe ni 0901555555
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom