Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
HAFAI, lisije kufanyika kosa kama la kumpokea Shibuda cdm kutoka ccm akaleta umamluki, ni mtizamo tu.
Upo sawa kabisa, huyu jamaa ni kama Shibuda.
HAFAI, lisije kufanyika kosa kama la kumpokea Shibuda cdm kutoka ccm akaleta umamluki, ni mtizamo tu.
mpwa bana, bofya basi hata ka senksi hapo!!.Upo sawa kabisa, huyu jamaa ni kama Shibuda.
Nimeamua kurudi kwenye taasisi ya First Lady. Angalau kule hakuna majungu...Naomba asije CHADEMA kama ndio uamuzi mgumu wenyewe
teh teeh teeeh, mpwa MDOSI alikua anabana sana, akanikatia mtandao kwenye sipiyuu yangu, Mungu si Athumani nikalamba shavu sehemu nyingine, sasa JF ni masaa 24 kwenye kimodemu changu!, nimerudi upyaaaa na KESHO kuna "shughuli" fulani maalumu ya WAPWA nitakuwepo kuonyesha urejeo wangu kundini.Ha ha ha haaah!! Mpwa ulipotea sana jamvini, siku hizi sio Thanks Invisible aliichinjia baharini, kuna LIKE sasa.
Nimeamua kurudi kwenye taasisi ya First Lady. Angalau kule hakuna majungu...
teh teeh teeeh, mpwa MDOSI alikua anabana sana, akanikatia mtandao kwenye sipiyuu yangu, Mungu si Athumani nikalamba shavu sehemu nyingine, sasa JF ni masaa 24 kwenye kimodemu changu!, nimerudi upyaaaa na KESHO kuna "shughuli" fulani maalumu ya WAPWA nitakuwepo kuonyesha urejeo wangu kundini.
kuna watanzania wanajua kidhungu kuliko chinua achebe mwe!!!!!ila hapo kwenye red hata mimi kayumba primary school nimestuka...I quit active politics at the end of 1995, I learnt my lessons then and made my mind, and I'm so happy ever since.
Many youth falls into a false ploy of winning it through politics. And it's CCM who is the sole creator and sustainer of such a lazy an greedy culture. So boy, look at the horizon and be amazed at ample but untapped opportunities.
Jumanne ni Mbali sana, kama hivyo, hiyo nia yako ulipaswa kuisema Jumapili au Jumatatu! Hao washauri wako walishindwa kukushauri vizuri!