MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
nilisikiliza nyimbo zao zilizojaa matusi ya mama.... nikawashusha thamani kabisaaa.....
Nanukuu, "tulitumia njia ya kawaida ujumbe haukufika, tukaona tutumie lugha kali na ujumbe umewafikia haraka.." - SUGU