Dj fetty talks about anti-virus: Kuna ukweli apa jaman?

:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
 
]


(bo|q ʎʇʇǝɟ ظp 'ǝɔɹnos),,...ıɹɐqɐɥ ɐɥɔ oqɯoɥɔ nɐ ɹǝbɐuɐɯ 'ɹǝʇoɯoɹd 'ııuɐsɯ ɐʍʞ ǝʍı 'ɐɹɐɥsɐıq ıu ɐ|ɐʍs nʞıs ɐʍ oɥsıʍɯ nqɐqɐs ɐʍʞ .ıuıu ıu ɐʍظuobn ɐɥɔ ozuɐɥɔ ɐnظɐʇnʇ ɐu ɐʞıqıʇɐʇı| ɐıd ı|ıɥ ...ɐʍظuob ɐ|ıʞ ɐʎ ɐqıʇ ıu (ǝɯıʇ)ɐpnɯ ɐnظɐunʇ ɐʍnɥ ɐ|ı .ıpǝ|ǝʍıʞ oʞı|nʞ ıpıɐz ısɟɐuıq ıu ozɐqɯɐ ıʞnɥɔ -ɐظoɯıʞ oqɯoɥɔ ɐʎ ıpıɥp ıʞnɥɔ ɐzıʞıpuɐdnʞ ɐʍʞ ııɯɐظ ɐzɐqɯndnʞ ɐnɯɐɐuɐʍ ɐ|ı 'ɐnظnɐuɐʍ ı|ǝʍʞn .ʞ.u oɐz ɐɐuɐs ɐʞıʇɐʞ oɐʍ ıpǝ|ǝʍ/ıظɐdıʞ ɐzǝ|ǝpuǝnʞ ɐʍpuıɥsnʞ 'ɐɯn|ɐɐʇ ı|ıpɐqnʞ 'ɐɐuɐs ɐʞızɯndnʞ ɐu ɐuɐʞoʇnʞ ,sǝoɹǝɥ uǝ||ɐɟ, ɐʎ ɐuɐɐɯ ɐʍʞ -ɐuǝʇ ıuoʞos oʞɐʍɐɥ oɐqɯɐ ııuɐsɐʍ ɐqǝqnʞ ı|ɐqnʞɐʇıɐɥ ɐ|ı 'oʎʌıɥ ɐʎuɐɟnʞ ɐǝ|ǝpuǝɐuı opɐq ɐu ıuıɥɔu ıbuǝʍ ııuɐsɐʍ ɯɹoɟʇɐ|d ɐdɐʍnʞ ɐzuɐʍʞ ɐʎ ɐıpǝɯ oıpu 'ıuɐpnɹnq ɐu ɐɐuɐs ɐʞıʇɐʞ ǝʞɐʍ ıʞı|ıɯɐʍ ɐʎ ızuǝdɐɯ ɐʍʞ ɐ|ı ɐɹɐɥsɐıq ɐʎ oıpɐɹ ıu spno|ɔ ǝʞǝʍǝ|ǝı .ɐɹɐɥsɐıqıʞ oʎıɥ ɐɐuɐs ɐʎ ʇuǝɯǝbɐuɐɯ ɐu ɐɹoq ɐɐuɐs ɐʎ ɐɹıp ɐzǝʇodı|ɐʍ ıbuǝʍ ɐıd ɐǝ|ǝpuǝnʞ ɐʍpuıɥsnʞ ɐu ozuɐʍɯ ɐɥɔ oɐɥɔ ɐɯıʞ ɐǝzǝɥɔı|ɐʍ ǝʍǝʎuǝʍ oɐʍ ıu ɐ|ı oɐʎ oɐɟɐɯ ɐʎuɐ,buɐʎuɐʍı|ı nɐ oɐʍ ıpǝ|ǝʍ/ıظɐdıʞ ɐʎuoʞodɐʍı|ı spno|ɔ ɐʍ ɐqɯɐʍʞ oıs ɐɐuɐs/ɐɯn|ɐɐʇıʞ oɐʍʞ (||ɐɟ & ǝsıɹ) ɐʞnɥsnʞ ɐu ɐpuɐdnʞ ıuɐpun ıuıɯɥʇɐʇıʞıu...snɹıʌ-ıʇuɐ ɐ| ɐɯız ıpunʞ ɐpunoı|ɐʍ ǝʇoʍ ııuɐsɐʍ ɐı|ɐbuɐɐu .ʞ.u spno|ɔ ǝʍı ǝʇoɥɔoɥɔ nʇıʞ nɐ nʇɯ ɐu ɐʍzɐʍʞnʞ nɐ ɐʍı|nqɯnsnʞ ɐ|ıq ɐɹɐɥsɐıqıʞ ǝʞɐʎ ɐɐuɐs ǝbɐuɐɯnʞ ɐʎ ısuıظ ɐnظɐʇɐ ısɐq ǝʞɐʎ ɐɐuɐs/ɐɯn|ɐɐʇ ɐʍ ıpǝ|ǝʍɯ 'ıɹıɥɐɯ ıu ııuɐsɯ ɐɯɐʞ ¡¿ǝuıbuıʍʞ nʇ ɐʍzǝɥɔɐʇı ıs ıɹnzu ıu ɐɯɐʞ oʞɐʎ oqɯıʎu ɐzǝɥɔıodısɐʍ spno|ɔ ɐɯɐʞ ɐʇɐɥ...ɐʍı|nunuɐʇı ɐu ɐʍpuǝdɐʇı ısɐq 'ıɹnzu ızɐʞ ɐʎuɐɟɐun ııuɐsɯ ɐɯɐʞ,,
:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:
 
Nadhani ujumbe umefika na wameupata,wanachotakiwa ni kufanyia kazi ujumbe huo na sio kulalama kwa kuwa wanachombo cha kulalamia
sio kwamba Wtz hawaoni kinachoendelea wanaona na ipo siku watatoa majibu ambayo hata wao hawataweza amini kwani wao kwa sasa wanaona kama sahihi na wtz wana waelewa,ila itakavyo kuja kuwa tofauti ndipo watakapo gutuka

SUGU
PAMOJA SANA
 
Hebu tujikumbushe hii,kweli nyerere aliona UMASIKINI ni adui wa taifa!!
 
Last edited by a moderator:
seriously nani kwa kizazi cha sasa... aanze kusikiliza nyimbo za mabaga fresh.. sister P.... lawama nyingine upuuzi mtupu! hawa wanaojiita vinega hii vita kamwe hawatashinda clouds ilikuwepo na itaendelea kuwepo..
 
Hebu tujikumbushe hii,kweli nyerere aliona UMASIKINI ni adui wa taifa!!






MMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMM
Japani,kama lughe angesikia haya asingekubari kumjumuisha afande ktk tamasha la juzi,jamaa kapaka,kaponda,katukana

yaliyosemwa humu hayaongeleki
 
Last edited by a moderator:
seriously nani kwa kizazi cha sasa... aanze kusikiliza nyimbo za mabaga fresh.. sister P.... lawama nyingine upuuzi mtupu! hawa wanaojiita vinega hii vita kamwe hawatashinda clouds ilikuwepo na itaendelea kuwepo..

Mbona hajaelewa hizi movement za antivirus,hebu rudia kusoma post za wachangiaji huko juu.
 
Ujumbe umewafikia. Tanzania media haipo moja, kwanini nyimbo zao hazipati airtime kwenye media nyingine?

Ubunifu zero. Endeleeni kulalamika tu. Time will tell.
 
Fetty umezungumzia upande mmoja tu.

Hizo sababu ulilozitaja za kuanguka kwa wasanii wakongwe hawa walongwe waloshiriki show ya juzi hawanazo? Maana na hao kwa muda sana hawakusikika Radioni kwenu mpaka majuzi palipotangazwa Vita.

Hawa wasanii mnaowakumbatia nao hawana mapungufu hayo uloyataja?

Nijuavyo mimi Lengo la Vinega ilikuwa ni

1؛‎ kuwarudisha kwenye game waloonewa
2. Ilikuwa ni kudai maslahistahiki katika shows
3. Kusambaza elimu kwa wasanii n.k

Na kazi imeanza kuonekana kwa sababu
1. Clouds juzi mmepiga show na wakongwe mlowakataa mwanzoni.
2. Elimu imeanza kutolewa kwa wasanii (Kama ulivyofanya hapo kwenye blog yako).

Na mengine mengi mema yatakuja.


Naamini hapa lengo sio kuleta uadui. Lengo ni kuleta manufaa kwa wote.
Hao wakongwe unaosema wamepewa shavu si kweli. Wametumiwa tu kama Big G. Saa hizi wameshatemwa zamani. Na hilo wao wenyewe walikuwa wanalijuwa kabla, but njaa mwanaharamu. Is crystal clear that Vinega will not benefit anything in this movement. Is the up coming Hip Hop generation which will scoop the whole stake.
 
hapo kwenye fallen heroes sasa! Ina maana afande, lwp, manzeshe crew, gangwe mob! Clouds waliwachukua baada ya kujua kuwa watakuwa kwenye show ya antivirus walikuwa ni standing heroes? Au wali-stand baada ya kutangwazwa kwenye perfoming list ya antivirus? Hao mnaowaita fallen heroes ndio waliotikisa jiji la dar jumamosi pale bamaga....sio kila msanii lazima awe kama shoga(e.g chocolate fleva) ndio a-hit! ..na bado clouds mtatoa matamko sana! ***** zenu!
nawasikitikia sana lwp, afande sele, gangwe mob kwani jumamosi was the only day ... Wametumika na kutoswa kama bigjee
 
seriously nani kwa kizazi cha sasa... aanze kusikiliza nyimbo za mabaga fresh.. sister P.... lawama nyingine upuuzi mtupu! hawa wanaojiita vinega hii vita kamwe hawatashinda clouds ilikuwepo na itaendelea kuwepo..
Hebu tutajie msanii wa muziki unaemjua wewe mwenye mafanikio makubwa kupitia muziki! Namaanisha mafanikio! Hata huyo dogo diamond mnayepiga nyimbo zake 24/7?
 
''Kama msanii unafanya kazi nzuri, basi itapendwa na itanunuliwa...hata kama clouds wasipoicheza nyimbo yako kama ni nzuri si itachezwa tu kwingine?! Kama msanii ni mahiri, mweledi wa taaluma/sanaa yake basi atajua jinsi ya kumanage sanaa yake kibiashara bila kusumbuliwa au kukwazwa na mtu au kitu chochote iwe clouds n.k. Naangalia wasanii wote waliounda kundi zima la Anti-virus...nikitathmini undani kupanda na kushuka (rise & fall) kwao kitaaluma/sanaa sio kwamba wa Clouds iliwapokonya kipaji/weledi wao au iliwanyang'anya mafao yao ila ni wao wenyewe walichezea kima chao cha mwanzo na kushindwa kuendelea pia wengi walipoteza dira ya sanaa bora na management ya sanaa hiyo kibiashara. Ieleweke Clouds ni radio ya biashara ila kwa mapenzi ya wamiliki wake katika sanaa na burudani, ndio media ya kwanza kuwapa platform wasanii wengi nchini na bado inaendelea kufanya hivyo, ila haitakubali kubeba wasanii ambao hawako sokoni tena- kwa maana ya 'fallen heroes' kutokana na kupumzika sanaa, kubadili taaluma, kushindwa kuendeleza kipaji/weledi wao katika sanaa zao n.k. Ukweli wanaujua, ila wanaamua kupumbaza jamii kwa kupandikiza chuki dhidi ya chombo kimoja- chuki ambazo ni binafsi zaidi kuliko kiweledi. Ila huwa tunajua muda(time) ni tiba ya kila gonjwa... hili pia litatibika na tutajua chanzo cha ugonjwa ni nini. Kwa sababu mwisho wa siku swala ni biashara, iwe kwa msanii, promoter, manager au chombo cha habari...''(SOURCE, DJ FETTY BLOG)
Sugu "Mheshimiwa Spika, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, kupitia Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muungano alitangaza kuwa amewapa Wasanii Studio ya kufanyia kazi zao. Hata hivyo, baadaye wananchi na wadau wengi wa sanaa, nikiwemo mimi binafsi, tulishangaa kusikia Studio hiyo wamepewa NGO binafsi ya Tanzania House of Talent (THT)! Pia Rais aliahidi na kutoa nyumba ya Serikali kwa Wasanii ambayo ingetumika kuendeshea Studio husika, lakini nyumba hiyo ya Serikali iliyotolewa na Rais sasa iko chini ya THT na ndio makao ya THT"
 
vinega hawana tofauti na huyu dogo....



386213_225207160886471_142304782510043_551876_30912928_n.jpg

 
Jamani wadau,kuna wadau wa mawingu wakitoa hoja tunaweza kuja kujibu hoja zao,pale mawingu kuna watu wanahistoriaj na muziki kama seba maganga,Ruge,ML chriss na wengine hata kama watapotosha wanajua muziki nini na umetoka wapi! Huyu Fetty aliyepewa kipindi cha muziki ambacho kazi yake pale ni kubwabwaja tu(hata muandaaji wa xxl si yeye!) huyu mbebe muweke radio nyingine kwisha! Fetty hujui muziki najua unatetea ugali wako tu! Subiri utafika mahali tutaheshimu upeo wako wa muziki lakini kwasasa bado sana! Nashangaa unajiita dj wakati wewe ni music selector! Mmeshawahi kusikia anapiga disco mahali? Au walau anachokipindi cha masaa 2 akimix muziki mwenyewe? Nafuu Ray C mimi mwenyewe ni moja wa watu wa mwanzo kumuita Dj sio wewe huna kipindi wala show yoyote club labda home kwako! virus si ni dhana pana kama unataka kuelewa nunua kitabu cha Sugu ujifunze sio unakurupuka tu kufurahisha wapuuzi wenzio! Soko zima la muziki ni tatizo na wadau wakubwa wa kuvuruga soko wametajwa sana na vinega! Narudia tena kuishi karibu na msikiti haikufanyi ujue kuswali! Hebu waache wadau wajadili kwa mapana mtoto mdogo kama wewe ujifunze! Umewahi kusikia Steven Mdoe au Seba Maganga wakikurupuka kutoa comments? Nimekujibu kwakuwa umeandika ki ujuaji sana na kuhukumu usiyoyajua! Hebu kuwa karibu na akina Master Jay,P funk ujifunze ulipotoka muziki uchanganye na zako!
Naam! Mwmbie Huyo Mbadilisha Cd et Dj! Weeee! Dj????? Hata kukaa karibu na chuo kikuu sio kuwa na Digrii!
 
No no no! Dj ferry ur totally wrong. kwanza usi - polarise kwamba wasanii wote walioko kwenye umbrella yenu wanawaunga mkono na wale wa sugu ni maadui. Hiyo ni misconception - walioko kwenu wanaganga njaa, lakini kukiwa na secret voting na alternative wata walk out - pili, ninyi kama pioneers wa enternainment ni sawa mmefanya kazi nzuri lakini ham jaendeleza equity ili wasanii nao wafaidike. Hii si kwamba wawe kama nyinyi no, lakini hali yao ionekane kaam sanaa ndio fani yao ya kuishi na kukiku familia zao in the future si kupata mademu tu. Nilitoa mfano wa Uganda ambapo wasanii, wapromota na radio stations wote wanafaidika. Unless mnafanya mabadiliko na kuondoa camps, mtakuwa nao wanaowasupport kwa njaa, lakini chini chini wanajisemea fxxxx you!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom