Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kwa jinsi radio clouds wanavyotoa matamko ya kujikosha kwa wadau wa muziki ni dhahiri kwamba ujumbe umewafikia.
Walifika mahali wakajiona wao ndio mwanzo na mwisho katika muziki ndani ya nchi hii, kwamba msanii hawezi kutoka bila kukubali kuburuzwa nao. Pongezi sana Mr. MP kwa kuwaonyesha njia wasanii wenzako, kidogo kidogo mwishowe watakuelewa na kuungana nawe katika vita hivi vya ukombozi kwa wasanii unavyovipigana, na ama kwa hakika utashinda tu.
Na katika wasanii wote, anayenisikitisha ni huyu anayejiita mwanaFA, tumeambiwa ni msomi-kwamba ana shahada ya uzamili (masters degree) lakini katika hali ya kushangaza eti amekubali kutiwa kapuni na ruge! yaani kumbe hata hiyo elimu aliyonayo haijamkomboa!?
Walifika mahali wakajiona wao ndio mwanzo na mwisho katika muziki ndani ya nchi hii, kwamba msanii hawezi kutoka bila kukubali kuburuzwa nao. Pongezi sana Mr. MP kwa kuwaonyesha njia wasanii wenzako, kidogo kidogo mwishowe watakuelewa na kuungana nawe katika vita hivi vya ukombozi kwa wasanii unavyovipigana, na ama kwa hakika utashinda tu.
Na katika wasanii wote, anayenisikitisha ni huyu anayejiita mwanaFA, tumeambiwa ni msomi-kwamba ana shahada ya uzamili (masters degree) lakini katika hali ya kushangaza eti amekubali kutiwa kapuni na ruge! yaani kumbe hata hiyo elimu aliyonayo haijamkomboa!?