Diwani wa kata ya njoro katika manispaa ya Moshi Mh.Jomba Koy amepata ajali mbaya mkoani shinyanga akiwa safarin kuelekea nyumban kwake musoma akiwa na familia yake taarifa ni kwamba hali yake sio mzuri na yupo katika hospitaki ya mkoa wa shinyanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.