prof kisambuka
Senior Member
- Mar 13, 2015
- 132
- 137
Kutokana na kuzoeleka kwa ufisadi Tz hasa katika serikali hii ya awamu ya 4 kiasi cha kufikia hata waandishi wa magazeti hawauzi magazeti yenye uso wa ufisadi kama zamani na hii ni kutokana na ufisadi Tz umekua sio kitu cha kustua kama ilivyokua kipindi cha mwalimu.
Na si kuzoeleka kwenye magazeti tu bali hata hao mafisadi wamezoea na hawaogopi kufisadi nchi hii, kuthibitisha hili tumesikia majibu ya watuhumiwa wakisema maneno kama hela ya 'madafu' ,'vijisenti' ,'ya mboga', na 'za ugoro', sitaki kuamini kwa sababu ya sheria mbovu tu bali BINAFSI naona iko haja ya kupata kiongozi mkali kidogo ambae ni dikteta nikisema dikteta baadhi ya watu wataogopa lakini dikteta ninaemtaka ni yule atakaekua mkali kwa fisadi yoyote yule bila kumwangalia usoni na pia hatacheka na wavivu, kuwatumia vyema wafungwa katika shughuli za uzalishaji mali na si kuotea vitambi jela huku magereza yakitegemea ruzuku kutoka serikalini badala ya magereza kuwa chanzo cha mapato ya serikali. Mara nyingi napenda kuita 'contemporary dictatorship' mwisho wa siku tuione Tanzania ikipaa kiuchumi kama China. Naamini inawezekana
Nini maoni yako mwanajf mzalendo wa nchi hii ya 'TANGAZANIA'.
Karibu
Na si kuzoeleka kwenye magazeti tu bali hata hao mafisadi wamezoea na hawaogopi kufisadi nchi hii, kuthibitisha hili tumesikia majibu ya watuhumiwa wakisema maneno kama hela ya 'madafu' ,'vijisenti' ,'ya mboga', na 'za ugoro', sitaki kuamini kwa sababu ya sheria mbovu tu bali BINAFSI naona iko haja ya kupata kiongozi mkali kidogo ambae ni dikteta nikisema dikteta baadhi ya watu wataogopa lakini dikteta ninaemtaka ni yule atakaekua mkali kwa fisadi yoyote yule bila kumwangalia usoni na pia hatacheka na wavivu, kuwatumia vyema wafungwa katika shughuli za uzalishaji mali na si kuotea vitambi jela huku magereza yakitegemea ruzuku kutoka serikalini badala ya magereza kuwa chanzo cha mapato ya serikali. Mara nyingi napenda kuita 'contemporary dictatorship' mwisho wa siku tuione Tanzania ikipaa kiuchumi kama China. Naamini inawezekana
Nini maoni yako mwanajf mzalendo wa nchi hii ya 'TANGAZANIA'.
Karibu