CV ya Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu (Mr II)

Elimu ya mtu si kigezo tunaangalia uwajibikaji kwani kuna watu walisoma mpaka Havard na wana Mijimasters lakini wanakuambi aaah hizo ni hela wakati ni VIJISENT sasa hapa ni wazi kwamba Elimu si kigezo kwani katiba ya nchi inasema mtu ambaye anapaswa kugombea uongozi wowote awe na akili nzuri hapa kwa maana hiyo asiwe mgonjwa wa akili pia awe anafahamu lugha ya Kiswahili vizuri na Kiingereza japokuwa kuna watu wana Masters lakini Kiingereza ni cha ugoko sasa hapa wana JF the Thinkers mtajiju kwa nini mtu ana Masters then Lugha inampa shida kwa kuandika na kunukuu.
Kikubwa we need maendeleo hii kila siku oooh tunataka CV ya mtu flani haitusaidii hata kidogo tuko na matatizo mengi sana ya kujadili kama ukosefu wa maji,umeme nk so kuna Wabunge wana Masters lakini wanashindwa hata mwenyekiti wa kijiji ambaye kaishia darasa la nne kwa utendaji wa kazi.Tunataka uwajibikaji na sio CV ya mtu kwanza wenye CV nzuri ndio wametufikisha hapa tulipa sasa wezi watupu kwa kutumia usomi wao.
 
Amesoma O-level miaka miwili (2), na amewahi fanya kazi kama 'celebrity'!

Kimsingi ndiyo hivyo lakini umesahau TU kuwa kati ya mwaka 1998 - 2010 alikuwa mlinzi BP-TZ. kumbuka siku hizi wale wazoaji wa taka taka mijini nao huitwa Gabbage Collector Engineers ndiyo maana kwa mh. badala ya kuita alikuwa mlinzi au security gurd ameitwa security officer.
 
Kajinyonge wananchi wa mbeya tumemchagua madk na profesa ni wezi sana afadhali sugu ana mchango mkubwa hasa akitoa single moja jukwani wananchi tunapata burudani. Na maendeleo pai

mhhh!!!! sina uhakika kama wewe ni mwenzetu ila naamini kuwa wewe ni mwana Mbeya kwani unafanana sana na mbeya
 
Sugu moto Chini Hahaaaa haaaa.......Muheshimiwa spika Nahisi Utakuwa una ngoma...maana watu wangu wa kitaa wamenitonya kuna party kesho .....

Halafu tunategemea na sisi kupeleka vyombo vyetu angani ......
Pini za watoto zinatushinda....

Wabunge Pumba tupu...
Na sisi wacha tuposti PUMBA

Your very very right!! Kwani sifa kubwa ya kiongozi lazima afanane na wapiga kura wake!!! hasa ukizingatia mh Sugu (Kama walivyo wabunge wengine) kwa mbeya yeye ndiye 1st citizen wengine wote wanafuata nyuma yake, na kwa msingi huo yeye ndiye mwenye nafuu hakukuwa na mbadala wake
 
Elimu ya mtu si kigezo tunaangalia uwajibikaji kwani kuna watu walisoma mpaka Havard na wana Mijimasters lakini wanakuambi aaah hizo ni hela wakati ni VIJISENT sasa hapa ni wazi kwamba Elimu si kigezo kwani katiba ya nchi inasema mtu ambaye anapaswa kugombea uongozi wowote awe na akili nzuri hapa kwa maana hiyo asiwe mgonjwa wa akili pia awe anafahamu lugha ya Kiswahili vizuri na Kiingereza japokuwa kuna watu wana Masters lakini Kiingereza ni cha ugoko sasa hapa wana JF the Thinkers mtajiju kwa nini mtu ana Masters then Lugha inampa shida kwa kuandika na kunukuu.
Kikubwa we need maendeleo hii kila siku oooh tunataka CV ya mtu flani haitusaidii hata kidogo tuko na matatizo mengi sana ya kujadili kama ukosefu wa maji,umeme nk so kuna Wabunge wana Masters lakini wanashindwa hata mwenyekiti wa kijiji ambaye kaishia darasa la nne kwa utendaji wa kazi.Tunataka uwajibikaji na sio CV ya mtu kwanza wenye CV nzuri ndio wametufikisha hapa tulipa sasa wezi watupu kwa kutumia usomi wao.

Hata wewe upo sawa kabisaaaaa!!! Elimu haina maana na wala siyo lazima kwani tumeona mpaka sasa kuwa hata wajinga kwa wajinga wanaishi tena wanaweza hata kupata viongozi kwa level yao, na pili tujiulize mtu akiishi na kukulia mjini na hata akawashawishi watu wanomzunguka na wao wakamkubali huyo tayari ana shahada ya kwanza, nakuendelea!!! sugu angekuwa ulaya na ile album yake ya antivirus agekuwa katunukiwa uuuprofuuuu au masela mnasemajeeee?
 
Pamoja na hayo yote huyu hajaficha mamilioni uswis wala kuuza wale twiga wetu kule mikumi!

Ni kweli ila kule kwetu Ileje kwa cv hii tungemwita " Mbumbulwisye" Na kwa majukumu aliyopewa na wananchi tungesema "Imbombo yimwaghite umundu" kwa maana ya kusema kazi imemkuta mtu na siyo mtu kapata kazi
 
Kwa mfumo wetu wa bunge na nafasi za uongozi za kisiasa bila shaka Sugu ha na wenzie wa namna hiyo hawana kasoro. Pia hawa ndio tunawategemea kuwa thinktanks wa maendeleo kwenye majimbo yetu kama yule Prof. wa Korogwe. Labda tuangalie upya ili marekebisho ya katiba tuweke kifungu kinachoboresha sifa za mbunge au na uongozi katka nafasi za kisiasa kama wakuu wa wilaya, mikoa na mawaziri pia
 
ulichotaka kuzungumza au kuandika hapa ni elimu ya darasani eeh katka curriculum kuna aina zaidi ya 7 za curriculum mojawapo ni concomitant curriculum ambapo mtu au msomaji hujifunza na kuwa na upeo kulingana na exposure na adaptation sasa kwanza CV ULIOWEKA WEWE iko too biased haioneshi hata upeo mbadala yaani EXPERIENCES ARCHIEVED kama ana cheti chochote ama lah!
lakini kumbuka katika ubunge sio elimu inayomsukuma mtu kuwasemea watu wake tena hao wenye cv kali zinazoonesha mitaala rasmi ndio wanopanga wizi katika nchi hii
mwisho hili la sugu limesababishia nchi hasara gani ya kikatiba?
weka hoja za kukomboa nchi kujadili mtu asie na madhara katika maendleo ama ambaye hayumbishi nchi kimaendeleo ni kupoteza muda
ahsnte sitasita kuwaelimisha wanafiki
 
"sikupenda kutoendelea kusoma
baba alipofariki ilibidi nimtunze mama
pia nihakikishe wadogo zangu wanasoma"-Sugu
 
Nadhani watanzania tuna tatizo katika kuandika CV zetu.Sababu kwa CV hii maana yake hajamaliza kidato cha nne.Na kuna mchangiaji amesema amemaliza kidato cha sita.
Inabidi waheshimiwa wetu watafute wataalamu wa kuandikiwa CV vizuri ile zilete maana kamili na nzuri.

wewe unajadili mwenzako wewe umesoma, kama umesoma unashindwaje kufanya hesabu(1988-1991=4) ya hiyo miaka kwenye CV. elimu yako haijakukomboa pole
 
politics is art as well as science. art plays greater part than science in politics and this can be demonstrated by many; one is Mr Sugu. the part of science in politics comes from a tiny ... example is Nyerere and a few others
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom