Waliachana na DullaHuyu zayLisa si ni mke wa msanii wa muziki wa Singeli aitwae Dulla Makabila (kama sijachanganya majina)!! Anaoanaje tena na Manara?
Waliachana na DullaHuyu zayLisa si ni mke wa msanii wa muziki wa Singeli aitwae Dulla Makabila (kama sijachanganya majina)!! Anaoanaje tena na Manara?
Nakumisi sana.Bora ubaki Itigi, mjini unaleta sana fujo 😂😂
Kanichekesha sana🤣🤣🤣🤣 Ila kuna muda mtu unahitaji kudeka Kwa Bebe, umlalie kifuani, umkune kitambi🤣🤣🤣🤣 Imagine Zai hapo🤣🤣, itabidi apige magoti.....🤣🤣🤣🤣Bora ubaki Itigi, mjini unaleta sana fujo 😂😂
Miss u pia…… Mmeanza kulima huko? Huku mjini kuna mafuriko 😜Nakumisi sana.
Kuna kitu anatumia si bure! 😂😂😂 couple inakuwaje na muonekano wa namba 10? 🤣Kanichekesha sana🤣🤣🤣🤣 Ila kuna muda mtu unahitaji kudeka Kwa Bebe, umlalie kifuani, umkune kitambi🤣🤣🤣🤣 Imagine Zai hapo🤣🤣, itabidi apige magoti.....🤣🤣🤣🤣
Bongo nyoso. Usishangae kesho ukasikia Amber Rutu ni msemaji wa ikulu. Raia hawajijui, wako wako tu..Sio limbukeni ni mshamba wa mapenzi na hakika hakustahili hata kuwa msemaji wa timu yoyote hapa nchini sababu ya nidhamu kwenye jamii kuwa haifai kuigwa na yoyote
Ila Manara wenye Mahusiano anaonekana ana shida sana yule....Kanichekesha sana Ila kuna muda mtu unahitaji kudeka Kwa Bebe, umlalie kifuani, umkune kitambi Imagine Zai hapo, itabidi apige magoti.....
Ha ha haaa..🤣🤣Mkitembea anakuwa kama anakuvusha barabara
Ha ha haaa..
Huendi mbinguni.. siyo kwa kumpondea huku Haji Manarana wafupi wote.
Ni wewe tu binti. Kila wakati nikiona couple kama hizi huwa nasema kila kitu kwenye mapenzi kinawezekana! Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa ananiambia kwenye mapenzi kila mtu ni handsome au beautfullyKuna kitu anatumia si bure! 😂😂😂 couple inakuwaje na muonekano wa namba 10? 🤣
Anaonekana ni controlling man, utaona wanawake akiwa nao wanafubaa, wakiachana wanapendeza.Ila Manara wenye Mahusiano anaonekana ana shida sana yule....
Wanawake wote anaokuwa nao hawadumu...sasa sijui ni ule Mdomo anaupeleke hadi kwa wake zake...
Huyo sijui zai,hapo ni sawa na yupo kwenye zile mashine za mchina za Kubet,hapo kuna mtu katega maokoto tu.Kanichekesha sana🤣🤣🤣🤣 Ila kuna muda mtu unahitaji kudeka Kwa Bebe, umlalie kifuani, umkune kitambi🤣🤣🤣🤣 Imagine Zai hapo🤣🤣, itabidi apige magoti.....🤣🤣🤣🤣
Haya maswali nitakujibu kwa kukupigia simu kwa ile namba yangu ya TTCL,weka simu yako kwenye chaji kabisa,sitaki tena zile sababu zako sijui simu haina chaji.Miss u pia…… Mmeanza kulima huko? Huku mjini kuna mafuriko 😜
Anaonekana ni controlling man, utaona wanawake akiwa nao wanafubaa, wakiachana wanapendeza.
Ni wale wanaume wa usivae hiki, usongee na Yule, usiende kule.....halafu na gubu juu.
Wananzengo tulikubaliana aoane na Dida Ili mzani ubalance, ingawa Kwa Zai pia sio mbaya.....Kwa mbaaali inakuja.
Uzuri Zai wetu tunamuaminia.....haogopi roroseee, safari hii wataachana au ataachwa yeye.....akae Kwa kutulia.Huyo sijui zai,hapo ni sawa na yupo kwenye zile mashine za mchina za Kubet,hapo kuna mtu katega maokoto tu.
Bila shaka, natekeleza kama nilivyoagizwa! 😊Haya maswali nitakujibu kwa kukupigia simu kwa ile namba yangu ya TTCL,weka simu yako kwenye chaji kabisa,sitaki tena zile sababu zako sijui simu haina chaji.
Sahihi kabisa!Ni wewe tu binti. Kila wakati nikiona couple kama hizi huwa nasema kila kitu kwenye mapenzi kinawezekana! Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa ananiambia kwenye mapenzi kila mtu ni handsome au beautfully
Jamaa anapenda Maisha ya kuongelewa mtandaoni.
Asichokijua ni kwamba anaongelewa kwa mambo ya hovyo.
SEMAJI HONGERA KWA KULA WATOTO WAZURI.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue