Dengue
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 2,043
- 1,436
Naomba kufahamu umri wa Manara. Maana mambo yake utasema ana miaka 23 hiviAnafanya mambo ambayo alitakiwa kuyafanya miaka 35
Naomba kufahamu umri wa Manara. Maana mambo yake utasema ana miaka 23 hiviAnafanya mambo ambayo alitakiwa kuyafanya miaka 35
Kwa nini?Ndoa za 'Kiislamu' zina raha yake.
Nani tena mboni mmeanza kutiatia Mavi humu mnataka watu waanze kutema mate kwa kinyaa,Aise ,ina maana anawafukua tgo
Ova
Unavuta hata wanne unawagonga weee ukiwachoka unawarudisha kwao wakaolewe na mwingine alafu unavuta wanne wengine, hivi ile ya mabikra 72 ulifikiri ni kule ahera madukani tu ndio itatokea? Umiwabadirisha wanne wanne mara 18 unajua umeshatimiza 72 na hio ndio raha kishika uchumba 5k mahari anachagua binti hata mkeka twende onasomewa dua unachukua chombo chako ukaendelee kukigonga hio ndio rahaKwa nini?
Viongozi wa HamasHawa Ni wakina Nani?
Mwanamke akishakuzidi urefu tu hilo ni tatizo teyari.
Watakatifu wanaoHawa Ni wakina Nani?
Mkuu, mbele ya pesa hakuna kinachoshindikana mbona.Ila ka Zaylisa kazuri bana... huwezi kuona wanakasifia....
Ila mm Manara huwa nawaza mdomo wake tuu...hivi watu wanakula mate?
Bila shaka hujamielewa mleta mada msimuliaji amemaanisha kwa tabia za hivi viumbe i mean tabia zao ni za hivyo so wataendana kifupi hivyo viumbe havihitaji kuwa na waungwana ni pipa na mfuniko hapo vimekutana ni pwagu na pwaguziCouple bora unapima kwa picha za kimahaba wapigzo na rangi ya melanin walizo nazo na si tabia?
Wazazi wangu wamekaa kwenye ndoa mwaka wa 60 huu siyo couple bora, ila hao takataka kwenye media wanao achana na kucheat kila siku ndio bora?
Hao wanao nyonya milk za watoto ndio couple bora?
Mwendo wa kubadilishana nyenyere tu yaani 😅😅😅Huyu zayLisa si ni mke wa msanii wa muziki wa Singeli aitwae Dulla Makabila (kama sijachanganya majina)!! Anaoanaje tena na Manara?
Dah hatari sana , masikiniHana hata mke mmoja, wale wake zake wawili wa mwanzo walivyodai talaka Kwa pamoja na wakaolewa tena.....walimpa kichaa cha mapenzi, anavitumia vibinti vya watu kujipoza maumivu, Ila hana mapenzi navyo.
Atafute msaada wa kisaikolojia.
Mkuu, una upeo mdogo sana wa kujuwa vitu. Usiwe unaangalia picha tu na kusifu upuuzi, kuna mengi ndani ya picha. Kwa tuliosoma ukiona tu picha hii unaona kuna hitilafu na kushikwa na mshangao wa watu kama wewe mnaoshabikia upuuzi. Pichani huyu demu anaonekana kabisa hana hisia na Manara, hii inaweza kuwa (1) wamepanga tu kupiga picha za show off kuwatia hofu watu fulani wanaowakusudia (2) kuna mmoja kati ya hawa wawili ni limbukeni wa mapenzi na ni dhahiri kumjuwa maana ni yeye tu ndiye yuko na kicheko kwa kila picha. Kisaikolojia, huyu mtu huenda anaumizwa na matukio ya nyuma ambayo yako nje ya uwezo wake kuyatatua ndiyo maana anawehuka kwa kujilipua na mapenzi mapya ambayo ni hewa tu lakini hajuwi (3) kuna mmoja huenda yupo kwenye hili penzi lakini hayumo, yupo tu kwa ajili ya exposure (ili aonekane na wanaume wengine) na ndiyo maana anapiga picha kama hataki na hana tabasamu (4) Yote tisa, kumi - inaweza kuwa si wapenzi kama unavyodhani, wapo tu kwa ajili ya kujivinjali kama vile kupiga mapicha na kufanya promosheni zao za kuongelewa mitandaoni ili watrend. Nikuulize wewe mleta mada, unafiki kuna mapenzi hapa kweli, huyu mwanamke ana akili na anajuwa historia ya huyu jamaa, unafikiri mwanamke gani anapenda kudhalilishwa na limukeni wa mapenzi Mze? Wanawake wa Dar walivyo na njaa, usishangae hata Kajala na machangu wengine wa mjini wakawa mademu wa huyu jamaa, mjini hapa!
Tuseme tu ukweli, couple ya Haji Manara na ZaiyLissa ni couple inayokuwa kwa kasi sana na wakiendelea hivi hivi huenda ndio ikawa couple yenye mvuto zaidi hapa nchini.
Zai na Haji wanapendezana sana sana tena sana yani, na ili couple yao izidi kunoga wanatakiwa waishi hivi hivi bila ndoa.
Haji na Zai wamekutana wote waluwalu /mapepe, Zai bado anajitafuta na anapenda yale maisha ya gharama maana akijicheki kajina kanakua na hana mia nyekundu kuendana na umaarufu unaoendelea kukua kila kukicha Sasa kuwa na mtu kama Haji ni mtu sahihi sana kwake kwa kipindi hiki maana Haji ni hodari mno wa kuhonga na ni mpenda starehe sana ,ila tu ni limbukeni mkubwa wa mapenzi.
Kwa hiyo muunganiko wa hawa wawili utakuwa na nguvu na utavutia ila tu usifikr mpaka hatua ya ndoa.
Mwenyewe nilikua nawaza hivyo mkuu..dada ana huruma sanaHuyu dada ana moyo sana