BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Huu ni ushahidi mwingine wa kuonyesha mahakama zetu ni ZERO!!!! Tukio litokee Arusha lakini kesi ikafanyike Dar!!! Ni majukumu gani hayo waliyokuwa nayo Dar ambayo hayawezekani kufanyika wakiwa Arusha!? Kuna mtandao, kuna simu, kuna usafiri wa uhakika kati ya Arusha na Dar na vice versa...sasa hebu wauambie umma wa Watanzania hayo majukumu ambayo hayawezekani kufanywa wakiwa Arusha.