James Kisusange
Member
- Mar 8, 2012
- 22
- 0
Unanikumbusha kipindi fulani cha Capital television kinaitwa"THEY MUST BE MAD",nilikuwa nakipenda sana.
Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.
Source: ITV
Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano
Wakuu,
Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam.
Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'
Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nk
TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)),
tumbiri@jamiiforums.com
Dr to be
kuna kitu wanakiita jurisdiction of the courtkwa ufupi tu mahakama ya mwanzo jurisdiction yake ni tarafa au kata
district court..ni wilaya
RMs court inaweza kuwa wilaya au mkoa
Wakuu,
Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam.
Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'
Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nk
TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)),
tumbiri@jamiiforums.com
Wakuu,
Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam.
Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'
Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nk
TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)),
tumbiri@jamiiforums.com
hapo ndipo mtego kwa wale wasioangalia 'picha kubwa' utakapowanasa... kama wanaihamishia hiyo kesi kwasababu za KISIASA, basi hata HUKUMU yake itakuwa ya KISIASA.
CCM lazima tayari wanamajibu ya kubaka haki ya Lema.
Mkuu Buchanan,
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba hata hao Wafuasi wa CCM Waliofungua hii kesi wangeenda Moshi au Sumbawanga kufungua hii kesi wasingepata pingamizi hilo la kufungua kesi outside Territorial Jurisdiction? Emu nipe Authority ya case yoyote iliyofunguliwa outside Territorial Jurisdiction ya Mahakama Kuu tofauti na (Special case) zile za Uhalifu wa Kivita na Ukiukaji wa haki za binadamu ambazo zinafunguliwa kwenye Mahakama za Kimataifa.
Mkuu Dr. (Ph.D) Kupeng'e,Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.
Source: ITV
Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano
ni bora maana dar lema hawezi kupata walalahoi awape mia tano tano wamsindikize mahakamani
Hapo penye red. unachukua PhD!!,,,,, hiyo PhD inauzwa bei gani nami nikanunue? ,,,, Ican buy ten of them.
ni bora maana dar lema hawezi kupata walalahoi awape mia tano tano wamsindikize mahakamani
We Tumbili lazima utakuwa mhaya kwa sifa hizo hapo ulizo tumwagiaWakuu, Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam. Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nkTUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)), tumbiri@jamiiforums.com
Mahakama Ya Rufani ndio Omega na hatua ya kwanza huamuliwa na majaji rufani 3 kama hujaridhika unaomba cour review wanasikiliza majaji 5 inaitwa "Half Bench" na kama hujaridhika unafanya final application for review ule uamuzi wa "Half Bench" then inasikilizwa na "Full Bench" majaji rufaa 7 wakiongozwa na CJ na hapo ndio mwisho wa haki kwa Tanzania. Sijajua kama local cases zinaweza kwenda EA Court!.Wakuu tuelimishane,
kuna hatua nyingine zinawezakuchuliwa na Lema au mtu yeyote kwa kutorizika na matokeo ya rufaha hiyo au Chande ndo omega?
Mkuu hapo kwenye RED umetu-mislead!
Soma section 3 ya Magistrate Court's Act, Cap. 11, R. E. 2002,
Primary courts
(1) There are hereby established in every district primary courts ( NI ZAIDI YA MOJA ZINAWEZA KUWA NYINGI NA KILA MOJA INAKUWA NA UKOMO WA KIMAMLAKA KATIKA ENEO HUSIKA NDANI YA WILAYA TAJWA) which shall, subject to the provisions of any law for the time being in force, exercise jurisdiction within the respective districts in which they are established.
Courts of a resident magistrate
The Chief Justice may, by order published in the Gazette, establish courts of a resident magistrate which shall, subject to the provisions of any law for the time being in force, exercise jurisdiction in such areas as may be specified in the order.
Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.
Source: ITV
Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano