Chande: Hukumu ya Lema itahamishiwa Dar es Salaam

Wanataka kuukimbia muziki wa Chadema Arusha. Ameshuhudia live kwa macho yake jinsi wananchi walivyojitokeza kwa wingi kusikiliza kesi na baadae wakimshangilia kwa nguvu sana ''mbunge'' wao Lema.
Kama ni majukumu mengine kuingiliana kwanini wasiyafanyie Arusha? Kwanini shughuli ya Arusha ndio ihamie Dar?

Watashindana lakini hawatashinda, sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
 
Aiseeee babaangu kama hao majaji wanamajukumu dar kwanini wasiwakodishie ndege ya kwenda na kurudi serekali inapesa kama ilikodisha ndege kumpeleka mboe arusha serekali inapesa bwana
 
Huu ni uhuni tena ni uuaji,hakika hata waipeleke mtwara makamanda tutawafuata ili tuidai haki yetu.
 
Kwa mazingira haya, Tanzania hatutatoa Ocampo hadi dunia inakwisha. Maana majaji wetu ni political oriented na walafi wa vijisenti. Dah nilitaka nitukane nkakumbuka ban.
 
Hii ni dharau kubwa,
Kwani hii kesi ya lema sio moja ya majukumu???
Always mtu muongo ni muoga sana.
Nasubiri kauli ya Lissu juu ya hili.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Pande zote mbili ziliomba kuahirishwa kwa hii RUFAA
Baada ya wakili Alute na Lissu, ambao ni ndugu, kufiwa na baba yao mzazi
 
Dr to be
kuna kitu wanakiita jurisdiction of the court
kwa ufupi tu mahakama ya mwanzo jurisdiction yake ni tarafa au kata
district court..ni wilaya
RMs court inaweza kuwa wilaya au mkoa
High court na Court of appeal inakuwa unlimitted jurisdiction kwa hivo hiyo kesi inaweza kufanyiwa dar es salaam au hapo arusha au popote watakapoona wao inafaa ni sawa na mamlaka ya Rais ukitofautisha na mamlaka ya mkuu wa mkoa au waziri.
jaribu kugoogle tu THE JURISDICTION OF COURT OF APPEAL-TANZANIA utaona
ukiwa msomi wa phd kuwa mtafiti zaidi.
lakini kama wanahamishia dar kwa kisingizio cha kuwa na majukumu mengi haingii akilini
kwani wanavokuja session wanalipwa na ratiba huwa inapangwa kabisa
naona siasa imeanza kuwatafuna majaji hawa ndio maana nasisitiza jaji mkuu
na majaji wa mahakama ya rufaa wachujwe na bunge na wafanyiwe usaili na kuwe na mapitio ya hukumu zao kabla ya kupendekezwa kuwa majaji wa rufaa.
hii itasaida kuleta balance katika mahakama ya rufaa na hakutakuwa
na upendeleo na watakuwa na uwezo wa kutoa hukumu nzuri dhidi ya serikali bila woga wala upendeleo.
Wakuu,
Mimi hapa HULL nasoma soma moja linaitwa Business Law. Katika moja ya vitu ambavyo Prof wetu ametu lecture ni kwamba always case is runned near to the court where the crime was committed. Na alisisitiza hiyo ni Stand of the Law. Ndiyo maana hata ile kesi ya kuuwawa kwa Mwangosi imefunguliwa Iringa na siyo Mbeya, Dodoma au Dar es Salaam.

Kwa msingi huo sidhani kama ni ethical kupeleka hii kesi ikasikilizwe na kuhukumiwa Dar es Salaam. Kamanda Tundu Lissu, najua upo kwenye msiba lakini kama unanisoma, sijui unaionaje hii hoja. Nadhani kuna haja ya kupinga hiyo hoja based on this 'Prominent Jurist Argument'

Nakala: Matola, Kimbunga, Ngongo, Mungi, Crashwise, Candid Scope, Mwita Maranya, Molemo, nk

TUMBIRI (PhD In Progress at HULL, CPA(T), MBA(UDSM), Bcom(UDSM), PCM(Mzumbe High School - 2[SUP]nd[/SUP] Best Student in Form Six National Exams)),

tumbiri@jamiiforums.com
 
ni bora maana dar lema hawezi kupata walalahoi awape mia tano tano wamsindikize mahakamani
Wale waliokuwepo Jangwani walitoka wapi?
Nimeanza kunusa harufu ya haki kutotendeka. Wameogopa nguvu ya Umma? Once a coward, always a coward!!
 
Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.

Source: ITV

Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano


Then, It is GIVEN... MREMA lost his appeal Wanaogopa kusema hayo pale ARUSHA...

SERIKALI YA WIZI...
 
eee bwana hawa majamaaa wana agenda ya siri wanayotaka kumfanyizia jembe letu lema na wanaogopa kifanyia arusha kwani itakula kwao hawa wana apolo wana hasira ile mbaya na magamba.
 
Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.

Source: ITV

Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano

Hivi do you expect anything sensible out of this guy chande, wote hawa si ndo wale wale, kina baba riz1, wacheza mnanda, ....labda kaahidiwa mnanda akimaliza kesi ya Lema 'shwari' , kama wenyewe wanavyosema....what the heck.
 
Priority ya majaji wetu si wanachi wanaoguswa na haki, bali ni kazi zao hapa Dar

hebu jiulize ile kesi ilifunguliwa na nani>? wanaarusha
kesi ianhusu nini?? mbunge wa arusha
kesi ilifunguliwa wapi? Arusha
kesi inaathiri nani?? arusha
kesi imejadiliwa wapi?? arusha
hukumu?? dar

niliposoma tu kwamba akina chande wanaingia kwenye hiyo kesi nikajua sheria pembeni siasa kati

Hilo likitokea ni bora mawakili wa mh LEMA wasiende DAR kwani atalipa gharama za kuwapeleka waathirika kwenda kusikiliza hukumu inayo wahusu? waathiri wa kesi hii ni MH LEMA na watu wa ARUSHA wote.
 
Hilo likitokea ni bora mawakili wa mh LEMA wasiende DAR kwani atalipa gharama za kuwapeleka waathirika kwenda kusikiliza hukumu inayo wahusu? waathiri wa kesi hii ni MH LEMA na watu wa ARUSHA wote.
kwa mfumo wenye sheria maamuma kama za majaji wasio na degree ya sheria, tutasikia hukumu imesomwa basi, na ndicho kinachotafutwa

UKITAKA KUJUA UOZO WA MFUMO WA SHERIA SIKILIZA MAONI YA NGIWLIZI, NA WANASHERIA WOTE WATAKAA KIMYAAA (HATA HAWA WA HUMU JF NA MASHULE YAO)
 
Back
Top Bottom