Chande: Hukumu ya Lema itahamishiwa Dar es Salaam

Mkuu Dr. (Ph.D) Kupeng'e,
Kwenye utendaji wa mahakama kuna kitu kinaitwa "jurisdiction" ambayo ni mamlaka ya kisheria ya mahakaka kusikiliza mashauri. Hii "jurisdiction imegawanyika sehemu mbili ambazo ni " pecuniary jurisdiction" inayohusisha uwezo wa mahakama fulani kusikiliza shauri lisilo zidi kiwango fulani cha fedha, mfan mahakama ya mwanzo mwisho wa uwezo wake ni kesi za lets say chini ya laki 500,000 hivyo shauri likisha zidi hapo, mahakama hiyo inakuwa haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo hivyo linahamishiwa mahakama ya juu inayoitwa "the court of competent jurisdiction".

Jurisdiction ya pili ni "teritorial jurisdiction" yaani ni mipaka ya mamlaka ya kisheria katika eneo husika. Hii ni inamaanisha mahakama ya eneo fulani haina uwezo wa kisheria kusikiliza shauri la nje ya eneo husika. Mfano tukio likitokea Arusha kesi inafunguliwa eneo la tukio na kuendeshewa kwenye mahakama yenye mamlaka husika ya eneo hilo.

Ingawa Mahakama Kuu inaitwa ni Mahakama yenye "inherent jurisdiction" ikimaanisha haina mipaka yoyote kwa kiwango chochote na mahali popote, lakini sidhani kama inaweza kuhamisha kesi toka Kanda moja ya Mahakama Kuu hadi kanda nyingine!.

Kuna kitu kinaitwa "public interest" kama mahakama inajiridhisha kuwa kama shauri fulani likisikilizwa eneo fulani linaweza kupelekea haki isitendeke au ku hatarisha amani kufuatia public interest, then mahakama inaweza kuihamishia kesi hiyo mahakama nyingine yoyote yenye "competent jurisdiction".

Kama authorities wa Arusha wameiandikia mahakama kuthibitisha kuwa siku ya hukumu ya kesi ya Lema jiji la Arusha linakosa amani kutokana na mashabiki wa Lema, hivyo uamuzi wa mahakama unaweza ku spark public outcry hivyo kuhatarisha amani, kesi inaweza kuhamishwa!.

Kama wanaamisha kwasababu ya kuhofia uvurugikaji wa amani, ni wazi hukumu inajulikana kuwa Lema atashindwa! hata kabla ya kusikilizwa pande zote! Lema hana chake,ndomaana wanahofia kuvurugika amani!
 
Mkuu Dr. (Ph.D) Kupeng'e,
Kwenye utendaji wa mahakama kuna kitu kinaitwa "jurisdiction" ambayo ni mamlaka ya kisheria ya mahakaka kusikiliza mashauri. Hii "jurisdiction imegawanyika sehemu mbili ambazo ni " pecuniary jurisdiction" inayohusisha uwezo wa mahakama fulani kusikiliza shauri lisilo zidi kiwango fulani cha fedha, mfan mahakama ya mwanzo mwisho wa uwezo wake ni kesi za lets say chini ya laki 500,000 hivyo shauri likisha zidi hapo, mahakama hiyo inakuwa haina uwezo wa kusikiliza shauri hilo hivyo linahamishiwa mahakama ya juu inayoitwa "the court of competent jurisdiction".

Jurisdiction ya pili ni "teritorial jurisdiction" yaani ni mipaka ya mamlaka ya kisheria katika eneo husika. Hii ni inamaanisha mahakama ya eneo fulani haina uwezo wa kisheria kusikiliza shauri la nje ya eneo husika. Mfano tukio likitokea Arusha kesi inafunguliwa eneo la tukio na kuendeshewa kwenye mahakama yenye mamlaka husika ya eneo hilo.

Ingawa Mahakama Kuu inaitwa ni Mahakama yenye "inherent jurisdiction" ikimaanisha haina mipaka yoyote kwa kiwango chochote na mahali popote, lakini sidhani kama inaweza kuhamisha kesi toka Kanda moja ya Mahakama Kuu hadi kanda nyingine!.

Kuna kitu kinaitwa "public interest" kama mahakama inajiridhisha kuwa kama shauri fulani likisikilizwa eneo fulani linaweza kupelekea haki isitendeke au ku hatarisha amani kufuatia public interest, then mahakama inaweza kuihamishia kesi hiyo mahakama nyingine yoyote yenye "competent jurisdiction".

Kama authorities wa Arusha wameiandikia mahakama kuthibitisha kuwa siku ya hukumu ya kesi ya Lema jiji la Arusha linakosa amani kutokana na mashabiki wa Lema, hivyo uamuzi wa mahakama unaweza ku spark public outcry hivyo kuhatarisha amani, kesi inaweza kuhamishwa!.

sawa mkuu. rakini sababu siyo hiyo. tatizo majaji wanakazi nyingi. je kazi zitapungua kwa kuamishia hukumu dar???
 
Wanataka kuukimbia muziki wa Chadema Arusha. Ameshuhudia live kwa macho yake jinsi wananchi walivyojitokeza kwa wingi kusikiliza kesi na baadae wakimshangilia kwa nguvu sana ''mbunge'' wao Lema.
Kama ni majukumu mengine kuingiliana kwanini wasiyafanyie Arusha? Kwanini shughuli ya Arusha ndio ihamie Dar?

hizi fikra za majaji na viongozi wetu zinafanya kazi kushoto kushoto sana.badala ya kufanya decentralization wanafanya centralization
 
sidhani mkuu kwani wewe upo wilaya gani?kama kwetu kilimanjaro kila tarafa ina mahakama yake ya mwanzo na haiwezi kuwa na mamlaka ndani ya tafafa nyingine na ukomo wake kimamlaka ni ndani ya tafara husika na sio ndani ya wilayasijui kama unaelewa how to construe the lawukisema primary court ina jurisdiction ndani ya wilaya that means ina mamlaka ndani ya tarafa au eneo husika lililopo ndani ya wilaya tajwa na sio wilaya nzima. ukisema wilaya nzima hapo una maanisha district courtna kwa sasa mahakimu wakazi wanakaa ndani ya wilaya ukomo wao unaishia ndani ya wilaya husika ingawa wapo RMs wengine wanaokaa ndani ya RMS court kama kisutu ambao wanahukumu kesi kutoka wilaya yoyote ndani ya mkoa mfano kisutu na mahama zingine za mikoa.
Mmmmmm.....h! Kaaaaazi kweli kweli!
 
Hata DAR pia WATANZANIA wapenda haki wapo jambo la muhimu ni mahakama ihakikishe HAKI inatendeka na siyo siyo kuburuzwa na wavua MAGAMBA!MAJAJI wakumbuke wanajukumu la kusimamia haki kwa watanzania bila kujali itikadi wala dini.
 
Mkuu hapo unaongelea Geographical jurisdiction. Nakumbuka kuisoma hii kwenye Business Law miaka hiyooo. Hapo ni kufunguiliwa sasa kuhusu suala la appeal sijui jurisdiction hiyo inasemaje.

Mkuu Kimbunga,
Ni kweli hapo nimeongelea Geographical Juridstiction badala ya Juridstiction ya kiutendaji. Kimsingi nilikuwa naamanisha Juridstiction ya kiutendaji ambayo kwa Court of Appeal ipo National Wide. Kwamba wao wanasikiliza na kutoa hukumu rufaa kutoka Mahakama Kuu za Kanda zote nchini.

Swali langu linakuja usikilizaji wa rufaa na utoleaji hukumu unafanyika wapi? Je Court of Appeal ndiyo inayofuata case near to the area where the crime was committed au Plaintfull na Deffendant ndiyo wanaifuata Court of Appeal yenye ofisi Dar es Salaam tu na hatimae wanapewa hukumu.

Na kama ni hivyo kwa nini kina Chande in walienda Arusha? Je kuna any previous held cases ambazo zinatupa authority kuendesha rufaa far from area of crime?. Na kama ndiyo ni kwa mazingira yapi? Haya ya Majaji kutingwa na shughuli nyingi au??

Msome Mkuu Pasco (LLB, UDSM) kwenye post yake namba 90 ukurasa wa tano utaelewa zaidi namaanisha nini.
 
Mkuu TUMBIRI nadhani majaji wanakimbizana na muda, unajua hizi kesi za uchaguzi lazima ziamuliwe ndani ya muda uliokubaliwa kisheria sioni kama kuhamisha kesi Dar ni tatizo sana kinachoangaliwa ni haki kutendeka.

Mkuu Ngongo,
Najua ni muhimu kukimbizana na muda ili kukidhi muda unaopaswa kusikilizwa na kutolea hukumu kesi za uchaguzi lakini siyo kwa kukiuka misingi na taratibu ya kimahakama. Ingawa Mimi si mwanasheria lakini kwa kutumia elimu yangu ndogo ya Business Law nimefundishwa kwamba kesi inaendeshwa na kuamuliwa kwenye Mahakama ambayo ipo karibu na pale kosa lilipofanyika.

Tunajua Court of Appeal ina ofisi zake Dar es Salaam. Lakini je wanapopelekewa rufaa kutoka Mahakama Kuu za Kanda kutoka kila pembe ya nchi, Je Majaji wa Mahakama ya Rufaa huwa wanaenda Mikoani kusikiliza rufani na kuzitolea maamuzi au Mdai na Mdaiwa pamoja na Mawakili wao wanaifuata Mahakama ya Rufaa Dar es Salaam na kupewa hukumu?

Nikawauliza watu, Je kuna any authority ya Previous held cases ambazo zimeamuliwa Dar es Salaam wakati crime ilikuwa imetendeka Mikoani? Na kama ni ndiyo. Je ni katika Mazingira haya haya ya kwamba Kina Chande wana kazi nyingi Dar? Hiyo ndiyo changamoto yangu Mkuu.

Msome Mkuu Pasco (LLB, UDSM) kwenye post yake namba 90 ukurasa wa tano utaelewa zaidi namaanisha nini.
 
Courts with broadest Geographical jurisdiction are highest Court of the court system. Kwa hiyo mkuu hapo hakuna kosa lolote kabisa. Sisi tunachotaka ni kuona haki ina tendeka na kuona sheria ina fatwa bila kupindishwa.

Nashukuru kwa maelezo yako. Lakini nilichokuwa namaanisha Mimi si hicho. Soma post yangu namba 111 na 112 hapo juu utaelewa nilichokuwa namaanisha.
 
Mkuu TUMBIRI,
Hiyo "
Outside Territorial Jurisdiction" imetoka wapi tena?

Mkuu Buchanan,
Nikiri tu Mimi si mwanasheria kwa hiyo nilichokuwa naandika si kama kinavyosomeka. Najua Court of Appeal haina Jurisdiction kiutendaji Geographically. Naomba usome post zangu namba 111 na 112 ujue nilichokuwa naamanisha. Pia msome Mkuu Pasco (LLB, UDSM) kwenye post yake namba 90 ukurasa wa tano.


TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Buchanan,
Nikiri tu Mimi si mwanasheria kwa hiyo nilichokuwa naandika si kama kinavyosomeka. Najua
Court of Appeal haina Jurisdiction kiutendaji Geographically. Naomba usome post zangu namba 111 na 112 ujue nilichokuwa naamanisha. Pia msome Mkuu Pasco (LLB, UDSM) kwenye post yake namba 90 ukurasa wa tano.

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com

Kaazi kweli kweli!!!!
 
ni bora maana dar lema hawezi kupata walalahoi awape mia tano tano wamsindikize mahakamani

mtakalia hizo propaganda lakini watanzania wa leo ni watu wakupima na kuelewa,kwa taarifa hakuna mji wenye vijana watafutaji kama Arusha hapa Tanzania labda kama hujawahi kufika na kukaa Arusha. wale wanataka kuona kura zao zinawekwa rehani au La!
 
Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.

Source: ITV

Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano

Ni mda muafaka wa kumpima Jaji Chande kama analeta mambo yake coz tunajua ni mjomba mtu au La! Hapa ndiyo atajijengea heshima kuwa Nchi ina Jaji mkuu au na yeye atakuwa kama werema (AG) anavyojidhalilisha pale bungeni,watanzania tupo nyuma yenu tukiwapima uwezo wenu au madai ya Antipas Lissu mwanasheria namba za juu ukanda wa africa mashariki.

Jaji mkuu ni wakati wakuonyesha kweli ulipewa nafasi hii si kwa upendeleo wa udini na ujomba kama watanzania tunavyojua onyesha uwezo wako siyo na wewe uanze kuuma maneno hapo kama yule wa sumbawanga wewe umekuja kama ni nyumba ilochakaa umekuja kupaka rangi nyumba tena rangi pinc au cream ili watu tuanze kuuamini huu mhimili tena.
 
Back
Top Bottom