Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,288
- 9,923
Mkuu nakupa big up san kwa ufafanuzi mzuri sananadhani wenye kuelewa wataelewa na wenye kukataa kuelewa kivyao, kidogo hapo kwenye kuungana kidogo napatashida kidogo kuna watu ambao wanaona bora waipigie CCM kuliko kuwapa CHADEMA na wengine VIRSE VERSA.