Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Hakuna change CUF wala CHADEMA wote wababaishaji tu!.. chama kubwa ni CCM tu kila kona ya Tanzania!
Tofauti ya CUF na CDM ni moja! Chadema wadini...wanasiasa za fujo CUF wanajitahidi Kuwa makini na siasa za utulivu
your impurity starts here.CDM wapo katika class yao si ccm wala CUF wanoweza kuwa class ya CDM.CDM hata wakicheka CCM parashika.Mabinti wawili 2 wamejiunga na CDM na kutajwa surname ya baba yao tayari patashika CCM.