Aaaaaggggghhhh! watu wengine bwana! kama huna cha kuandika si ukalale, kichwa cha thread yako hakiendani na ujumbe unaoutoa,UNASUMBUA WASOMAJI....
Waende Zanzibar halafu watamuachia nani minyukani ndani ya JF. Jamaa wamekosa dira na wanachoweza sasa ni kuchafuana na kueneza umbea tu. Halafu eti uipe nchi mijitu isiyo na upeo kama hii. Kwa hali hii, sioni ajabu CCM ikiendelea kutawala hadi Yesu anarudi.
Waende Zanzibar halafu watamuachia nani minyukani ndani ya JF. Jamaa wamekosa dira na wanachoweza sasa ni kuchafuana na kueneza umbea tu. Halafu eti uipe nchi mijitu isiyo na upeo kama hii. Kwa hali hii, sioni ajabu CCM ikiendelea kutawala hadi Yesu anarudi.
Wana jf mimi hawa CDM siwaelewi kabisa. Huku visiwani bado nguvu yao ni ndogo mno sasa kuelekea 2015 ni vyema mh.Mbowe na team yake wakajipanga mapema kusudi M4C isiieshie tu bara tukumbuke rais wa jamhur ya muungano huchaguliwa kote bara na visiwani na hawa magamba wanaweza kutumia advantage ya ZNZ kujiongezea kura.
Wana jf mimi hawa CDM siwaelewi kabisa. Huku visiwani bado nguvu yao ni ndogo mno sasa kuelekea 2015 ni vyema mh.Mbowe na team yake wakajipanga mapema kusudi M4C isiieshie tu bara tukumbuke rais wa jamhur ya muungano huchaguliwa kote bara na visiwani na hawa magamba wanaweza kutumia advantage ya ZNZ kujiongezea kura.
Zanzibar hawana haja ya chadema,ccm,cuf wala tlp,haja yao z'br huru yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa.
Waende Zanzibar halafu watamuachia nani minyukani ndani ya JF. Jamaa wamekosa dira na wanachoweza sasa ni kuchafuana na kueneza umbea tu. Halafu eti uipe nchi mijitu isiyo na upeo kama hii. Kwa hali hii, sioni ajabu CCM ikiendelea kutawala hadi Yesu anarudi.
Huko ndo kuitenga zanzibar!??? Uandishi uchwara na udaku