johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Baraza la Vyama Vya Siasa liliketi kwa siku mbili na Wajumbe wa Vyama Vyote walitoa mawazo yao
Nilichogundua Benson Kigaila wa Chadema Ule Mchango wake ndio umebebwa positively na Watanzania wote pamoja na Taasisi zao za Kijamii
Chadema kwenye maswala ya kitaifa inakuwaga na Mchango mkubwa sana
Nilichogundua Benson Kigaila wa Chadema Ule Mchango wake ndio umebebwa positively na Watanzania wote pamoja na Taasisi zao za Kijamii
Chadema kwenye maswala ya kitaifa inakuwaga na Mchango mkubwa sana