CHADEMA kuandamana Mwanza Feb 24; kupinga ufisadi, JK ajiuzulu

Nini maana yake :confused3:

Usijali maana yake ! Ama kweli leo karibu nivunjke mbavu... nimesoma kijerumani cha ugoko... lugha yenyewe mtu haijui lakini anaandika. Hata kiingereza cha sekondari ya kata ni kizuri kuliko hicho kilichoandikwa kwa kijerumani
 
Quadrat Jr, kitambo sana, ule upepo wa nile basin natamani ufike huku kweli yaani..

Safi wana mwanza...Naomba Mungu maandamano yenu yawe chanzo cha kuung'oa utawala dhalimu wa ccm.Wana jf tulikuwa tunasubiri wakuanzisha,Mwanza hao sasa tuwaunge mkono ili yale tunayoyabandika humu kwa hasira na uchtngu tuyatende,WAKATI NI HUU!
 
Andika, DOWANS WALIPWE BILIONI 94, WABUNGE WAMEKOPESHWA MILLIONI 90 KILA MMOJA KUNUNUA MAGARI, MWANANCHI ANAPATA NINI?wakati maji shida, umeme shida, nauli juu, bei ya bidhaa juu!!!!!!!!!

dah kweli mdau....
 
Kumbe hata wewe unatukuza lugha za kikoloni? si ulisema mnaonewa na mlinyimwa nafasi ya kusoma? sasa hicho kijerumani cha ugoko ulifundishwa na babu yako?? bytheway, what is going on there? maana naona kuna vidudu mtu vinataka kututoa kwene mada ya msingi
 
Kumbe hata wewe unatukuza lugha za kikoloni? si ulisema mnaonewa na mlinyimwa nafasi ya kusoma? sasa hicho kijerumani cha ugoko ulifundishwa na babu yako?? bytheway, what is going on there? maana naona kuna vidudu mtu vinataka kututoa kwene mada ya msingi


Chadema könnte dies maandamano benutzt haben, um Menschen zu initiieren ins Krankenhaus zu bauen, Schulen und Straßen. es ist Verschwendung von Zeit, um Menschen auf der Straße sehen
 
Chadema könnte dies maandamano benutzt haben, um Menschen zu initiieren ins Krankenhaus zu bauen, Schulen und Straßen. es ist Verschwendung von Zeit, um Menschen auf der Straße sehen

Herr Jeykeywaukweli
Es tut mir Leid, Sie schreiben so schlecht Deutch, dass Ich mich wundere, warum Sie überhaupt auf Deutsch schreiben müssen? So wie so es bringt nichts und es macht keinen Sinn auf Deutsch zu schreiben, wenn niemand Sie verstehen kann. Ni sawa na kumpigia Mbuzi gitaa! Hör auf! Tuandike lugha yetu tunayoimudu…
 
Back
Top Bottom