CDM hamna kitu .... kilichobaki ni kurudia na kuibua hoja zilezile kila kikao cha bunge
wabadirishe hoja za nini wakati matatizo yetu ni yaleyale.
Kaka Wenje,yule mbunge wa nyamagana,leo kanitamanisha,bora mjengoni wakabaki wabunge wa Chadema peke yao,kuliko wabunge wote wa Ccm..! Kachangia vizuri sana,,,suala la ukubwa wa Balaza la mawaziri tz..! !. Sijaona ata 1 wa ccm anagusia iyo issue,,eccept wanaishia kupongezana tu!! Ongera Wenje!
Teh teh wabadirishe kajifunze kutamka maneno yote ndo ujekuchangia hapa!
Nchi ina khali ngumu ya kiuchumi , mapato yamepungua, bajeti ina naksi ya fdha karibu trilion moja, lakini waziri mkuu anaita ma RAC wote na RC wote tanzania kuna kusikiliza bunge linavyopitisha bajeti .fedha hizo zingepelekwa kufanyia kazi nyingine;huko kwao hawana tv?
sio wakali.. CCM ni chama makini .... hakuna ukanda.. ukabila.. udini...
sio wakali.. CCM ni chama makini .... hakuna ukanda.. ukabila.. udini...
ccm wamebaki kusinzia na kupiga makofi
CDM hamna kitu .... kilichobaki ni kurudia na kuibua hoja zilezile kila kikao cha bunge
Mkikosa hoja mnaanza viroja, wekeni basi na wizara zetu zina wafanyakazi wangapi na za hao wenzetu zenye mawaziri kidogo zina wafanya kazi wangapi. Na pia msisahau kutuwekea matumizi yao na matumizi yetu. Kwi kwi kwi teh teh teh.
Tazama wanavyokosa hoja wanakuja na viroja...
Teh teh wabadirishe kajifunze kutamka maneno yote ndo ujekuchangia hapa!
CDM hamna kitu .... kilichobaki ni kurudia na kuibua hoja zilezile kila kikao cha bunge
sio wakali.. CCM ni chama makini .... hakuna ukanda.. ukabila.. udini...