Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Jamani SimbaChawene yupo naye leo kahudhuria bungeni; nani atakua amemuona huko?? Katoa hoja gni pale kwani?
Jamani nimejaribu sana kukata shingo ili nimuone Mhe SimbaChawene pale sebuleni lakini nimeshindwa.
Kuna yeyote mwenye taarifa zozote juu yaake na mahudhurio yake kule Bungeni Domz tangu mkasa wa kule Aqua Restuarant kule Singida???