johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Inadaiwa kuna kundi la Wahafidhina kutoka Chadema na CCM ambao wamedhamiria kukwamisha Maridhiano ya mh Rais Samia na Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe
Kundi hilo la Wahafidhina wamo Mawaziri, Wabunge, Wajumbe wa kamati kuu za Chadema na CCM nk
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema
Kundi hilo la Wahafidhina wamo Mawaziri, Wabunge, Wajumbe wa kamati kuu za Chadema na CCM nk
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema