Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,250
- 113,638
Pale pale, hujui kwamba CHADEMA wana team capable ya ku form government, for all we know watu wa caliber ya ku form government CHADEMA wanaweza kuwa hawafiki 15.
Hiyo ya sijui unasadiki wewe. Mimi sijasema sijui. Usinisemee bana. Kwani umekuwa msemaji wangu?