Elections 2010 CHADEMA iwaachilie walioshinda kura za maoni wagombee

Status
Not open for further replies.
Nadhani bado watu wanatukuza sana vyama kuliko demokrasia! Kwamba maslahi ya chama yako juu kuliko maslahi ya mtu mmoja na yale ambayo chama inataka basi yainuliwe kuliko kanuni za haki, usawa na heshima. Demokrasia ina gharama na wanaoitaka wawe tayari kulipa gharama yake. Na mojawapo ni haki ya kusema vitu vya kuudhi, kukera, vya kijinga na hata visivyokukubalika. Kama mmoja alivyosema huko nyuma "I might not like what you say, but I'll fight to death for your right to say it!".

Kitila kasema vyema
Regia kasema vyema
Kiranga kasema vyema
WEnye kuunga mkono wamesema vyema
Waliokerwa nao wamesema vyema

the bottom line.. ni kuwa tunaweka mawazo yetu hadharani bila kutishwa, kunyamazishwa au kulazimishwa kusema tofauti ili tukubalike. THats is the price of democracy!

so say what you want to say!; thats the boldness of free speech! But once you say it.. be ready to pay for it!
 
Hakuna serikali hata moja duniani inayozungumzia dream cabinet kabla ya kuchukua Ushindi. haya sio mashindano ya Mpira au team ya kucheza. Tanzania tuna population ya watu millioni 40 na kati ya hao Chadema haiwezi kushindwa kuwa na cabinet unless ktk akili yako unafikiria cabinet has to be those U have in mind..

Mi sijawauliza CHADEMA, mimi nimekupa wewe nafasi unionyeshe kwamba CHADEMA wana team ya kuweza kuendesh nchi. Unaelekea kuonyesha kwamba huna hii team hata ya kufikirika kichani tu.
 
Nadhani bado watu wanatukuza sana vyama kuliko demokrasia! Kwamba maslahi ya chama yako juu kuliko maslahi ya mtu mmoja na yale ambayo chama inataka basi yainuliwe kuliko kanuni za haki, usawa na heshima. Demokrasia ina gharama na wanaoitaka wawe tayari kulipa gharama yake. Na mojawapo ni haki ya kusema vitu vya kuudhi, kukera, vya kijinga na hata visivyokukubalika. Kama mmoja alivyosema huko nyuma "I might not like what you say, but I'll fight to death for your right to say it!".

Kitila kasema vyema
Regia kasema vyema
Kiranga kasema vyema
WEnye kuunga mkono wamesema vyema
Waliokerwa nao wamesema vyema

the bottom line.. ni kuwa tunaweka mawazo yetu hadharani bila kutishwa, kunyamazishwa au kulazimishwa kusema tofauti ili tukubalike. THats is the price of democracy!

so say what you want to say!; thats the boldness of free speech! But once you say it.. be ready to pay for it!

Hahaha, diplomasia itakushinda mzee, watu wote hawawezi kuwa wamesema vyama (oops vyema), hususan kama wanapingana.

Katika vyama vyenye uongozi uliochaguliwa kidemokrasia, mstari kati ya chama na demokrasia ni mwembamba mno, na unaweza kufikiri una promote demokrasia kumbe ukawa una promote anarchy.
 
Right,

Lakini si wote tunaogombea ubunge, sio wote tunaotumia majina yetu, sio wote tunaotaka dhamana ya uongozi. Kiranga hata akiboronga, anaboronga yeye kama private citizen na anaweza kusema "it is just a forum". Lakini Regia ana campaign, kila kitu anachoandika na jinsi anavyoandika vinaweza kutumiwa ku form opinion kuhusu alivyo na uwezo wake, kwa hiyo anatakiwa kuwa mwangalifu zaidi, hawezi kusema "It is just a forum". It is more than ajust a forum, it is a campaign platform where she is convincing the people that she is capable and she knows her stuff, that she will be comfortable not only following parliamentary regulations, but possibly understand them enough to refrom. Sasa mtu hajui hata kanuni za kuandika unaniambia anaweza kusahihisha logic na content za "Government Gazette" na procedure za ku submit motions bungeni ? Ataweza kwenda one on one na ma CCM attack dogs kama kina Phillip Marmo huyu ? Mafupa yaliyowashinda kina Zitto Kabwe (muulizeni Zitto ile "leadership ethics bill" yake iliishia wapi ?)

Huwezi kumtetea mdada mzima, mtu mzima anaye run for public office, asiyejua kuandika.

Hata huyo private citizen akikosea anajionyesha alivyo nincompoop.
.

Ndiyo hii hii culture yetu ya compacency tunayoipiga vita hapa. Kutokuwa makini katika vitu vidogo kunaonyesha uwezo mdogo wa kuwa makini katika vitu vikubwa.

Nakupinga ktk mengi lakini hili mimi pia nakuunga mkono.
Regia hakuandika at its status kama Mbunge mtarajiwa ,ameongea into detail maongezi yake na viongozi wake unnecessary,kam attack Kitila inaonyesha katika kujiweka asomeke vema hapa amejiaribia yeye na chama.

Hebu wewe mwenyewe jaribu kuona umeelewa nini toka kwa maneno ya Regia, of coarse yako disturbining nikiwa na maana hata kama haku maanisha tulivyo elewa wengine basi yanafanya tuwe na tasfiri nyingi ,jambo ambalo si jema kwake na chama.Ingawa hatakuwepo walimuelewa sawia ,ila kama kiongozi ni kuchagua maneno kwa makini sana yasichanganye audiance yako hasa unapoandika kwa kuwa wakuna tone .
Haina maana hata ukiongea ukweli halafu huo ukweli ukawabomoa.
Nakutakia mema kama utakuwa ndio mgombea ubunge wa chadema kama ulivyochaguliwa,hope still you have support from most of us.
 
Nadhani bado watu wanatukuza sana vyama kuliko demokrasia! Kwamba maslahi ya chama yako juu kuliko maslahi ya mtu mmoja na yale ambayo chama inataka basi yainuliwe kuliko kanuni za haki, usawa na heshima. Demokrasia ina gharama na wanaoitaka wawe tayari kulipa gharama yake. Na mojawapo ni haki ya kusema vitu vya kuudhi, kukera, vya kijinga na hata visivyokukubalika. Kama mmoja alivyosema huko nyuma "I might not like what you say, but I'll fight to death for your right to say it!".

Kitila kasema vyema
Regia kasema vyema
Kiranga kasema vyema
WEnye kuunga mkono wamesema vyema
Waliokerwa nao wamesema vyema

the bottom line.. ni kuwa tunaweka mawazo yetu hadharani bila kutishwa, kunyamazishwa au kulazimishwa kusema tofauti ili tukubalike. THats is the price of democracy!

so say what you want to say!; thats the boldness of free speech! But once you say it.. be ready to pay for it![QUOTE]

Kwenye red kwangu pana mantiki
 
Mi sijawauliza CHADEMA, mimi nimekupa wewe nafasi unionyeshe kwamba CHADEMA wana team ya kuweza kuendesh nchi. Unaelekea kuonyesha kwamba huna hii team hata ya kufikirika kichani tu.

Unauliza kama kuna watanzania wenye uwezo wa kuendesha nchi kwa mjibu wa sera na ilani ya chadema?
stop these st question
 
Hahaha, diplomasia itakushinda mzee, watu wote hawawezi kuwa wamesema vyama (oops vyema), hususan kama wanapingana.

Ndio maana nimesema vyema.. sikusema kwa usahihi..

Katika vyama vyenye uongozi uliochaguliwa kidemokrasia, mstari kati ya chama na demokrasia ni mwembamba mno, na unaweza kufikiri una promote demokrasia kumbe ukawa una promote anarchy.

lakini anarchy wakati mwingine ni by product ya demokrasia! so.. ukitaka demokrasia ni lazima uwe tayari na anarchy..
 
Mi sijawauliza CHADEMA, mimi nimekupa wewe nafasi unionyeshe kwamba CHADEMA wana team ya kuweza kuendesh nchi. Unaelekea kuonyesha kwamba huna hii team hata ya kufikirika kichani tu.
Mkuu wangu, hata sijui nikwambie lugha gani. Pengine unashindwa kuelewa kwamba mimi sina uwezo wa kuongoza nchi hivyo kuweka majina ya watu ambao naweza kuwapa wizara kwa niaba ya Chadema.

Pili, nimekwambia vizuri kwamba siwajui wana Chadema wala hao Wabunge zaidi ya uongozi wa juu wa chama. Ni kama vile navyowajua viongozi wa chama cha demokratic cha Marekani kina Harry Reid, Tim Kaine, Joe Manchin, Andrew Tobias, Alice Travis Germond, Jane Stetson, Donna Brazil na wengine wengi tu ambao kama ungeniuliza swali hili pasipo kuwa na historia ya chama hicho ingekuwa vigumu kwangu kutafuta majina ya watu ambao wanaweza kuunda serikali USA kesho..

Kwa hiyo sii kweli kwamba viongozi wa chama ndio wanaoweza kuunda serikali ya nchi hata kidogo maanake hiyo list hapo juu hakuna aliyepo ktk serikali ya Marekani ingawa ni viongozi wqa chama.

Tatu, nimekupa hint tu ya kitu ambacho Chadema wanaweza kukifanya ikiwa hawana watu wa kutosha jambo ambalo mimi na wewe sote hatujui. Sina list ya wanachama wa Chadema zaidi ya uongozi wa chama hicho. unless wewe mwenyewe unafikiria kwamba ni lazima viongozi wa chama ndio waunda serikali ya nchi kulingana na mfumo wa CCM.

Amini maneno yangu mkuu wangu kati ya mawaziri woote wa JK na Manaibu wake sasa hivi, nilokuwa nikiwafahamu kabla ya kuteuliwa kwao hawafiki hata 10. Sasa kwa sababu nisingeweza kuwataja hawa, haina maana CCM wasingekuwa na uwezo wa kuunda serikali baada ya JK kuvunja baraza lake la Mawaziri.
 
Unauliza kama kuna watanzania wenye uwezo wa kuendesha nchi kwa mjibu wa sera na ilani ya chadema?
stop these st question

Angalia kilichoulizwa na unacho asume kimeulizwa, tofauti. Don't assume, you make an ass of u and me.
 
Ndio maana nimesema vyema.. sikusema kwa usahihi..



lakini anarchy wakati mwingine ni by product ya demokrasia! so.. ukitaka demokrasia ni lazima uwe tayari na anarchy..

Duh,

Sasa tumefikia mpaka kutetea anarchy, inatisha. What's next, kila mwananchi awe mbunge halafu nchi nzima ikutane Dodoma?

anarchy.jpg
 
Mkuu wangu, hata sijui nikwambie lugha gani. Pengine unashindwa kuelewa kwamba mimi sina uwezo wa kuongoza nchi hivyo kuweka majina ya watu ambao naweza kuwapa wizara kwa niaba ya Chadema.

Pili, nimekwambia vizuri kwamba siwajui wana Chadema wala hao Wabunge zaidi ya uongozi wa juu wa chama. Ni kama vile navyowajua viongozi wa chama cha demokratic cha Marekani kina Harry Reid, Tim Kaine, Joe Manchin, Andrew Tobias, Alice Travis Germond, Jane Stetson, Donna Brazil na wengine wengi tu ambao kama ungeniuliza swali hili pasipo kuwa na historia ya chama hicho ingekuwa vigumu kwangu kutafuta majina ya watu ambao wanaweza kuunda serikali USA kesho..

Kwa hiyo sii kweli kwamba viongozi wa chama ndio wanaoweza kuunda serikali ya nchi hata kidogo maanake hiyo list hapo juu hakuna aliyepo ktk serikali ya Marekani ingawa ni viongozi wqa chama.

Tatu, nimekupa hint tu ya kitu ambacho Chadema wanaweza kukifanya ikiwa hawana watu wa kutosha jambo ambalo mimi na wewe sote hatujui. Sina list ya wanachama wa Chadema zaidi ya uongozi wa chama hicho. unless wewe mwenyewe unafikiria kwamba ni lazima viongozi wa chama ndio waunda serikali ya nchi kulingana na mfumo wa CCM.

Amini maneno yangu mkuu wangu kati ya mawaziri woote wa JK na Manaibu wake sasa hivi, nilokuwa nikiwafahamu kabla ya kuteuliwa kwao hawafiki hata 10. Sasa kwa sababu nisingeweza kuwataja hawa, haina maana CCM wasingekuwa na uwezo wa kuunda serikali baada ya JK kuvunja baraza lake la Mawaziri.

Kwa kifupi hujui kwamba CHADEMA wana a capable team, posibly a team at all.

I rest my case on this.
 
Nakupinga ktk mengi lakini hili mimi pia nakuunga mkono.
Regia hakuandika at its status kama Mbunge mtarajiwa ,ameongea into detail maongezi yake na viongozi wake unnecessary,kam attack Kitila inaonyesha katika kujiweka asomeke vema hapa amejiaribia yeye na chama.

Hebu wewe mwenyewe jaribu kuona umeelewa nini toka kwa maneno ya Regia, of coarse yako disturbining nikiwa na maana hata kama haku maanisha tulivyo elewa wengine basi yanafanya tuwe na tasfiri nyingi ,jambo ambalo si jema kwake na chama.Ingawa hatakuwepo walimuelewa sawia ,ila kama kiongozi ni kuchagua maneno kwa makini sana yasichanganye audiance yako hasa unapoandika kwa kuwa wakuna tone .
Haina maana hata ukiongea ukweli halafu huo ukweli ukawabomoa.
Nakutakia mema kama utakuwa ndio mgombea ubunge wa chadema kama ulivyochaguliwa,hope still you have support from most of us.

Katika kipindi hiki hakuna tofauti ya Regia kada wa CHADEMA, Regia binafsi na Regia mgombea ubunge.Kitu kikiwa public all these three roll into one, especially in this context.

Mimi nilichoelewaa ni kwamba Regia ni naive, inexposed, hajui nini cha kuwasiliana na wenzake chamani na nini cha kuanika JF, ni potential train wreck, anaweza kusababisha ugomvi usio lazima kwa kukosa tact, anafikiri kila kitu ni honky dory hata kama watu wanamdiss kumzungusha na kumkatia simu, hawezi kusoma alama za nyakati kwamba kuna wengi CHADEMA washaanza kumshtukia kwamba hafai. Na yeye kwa kuleta vineno neno vya ndani ya chama hapa na kujifanya muwazi ndiyo kwanza anawapa ammunition. Jambo la kuwa defused na a simple phone call kwa Kitila kumwambia abadilishe vitu fulani kwenye post limegeuka kuwa a confrontantional issue, mtu kabla hujaongea naye na kujua kwa nini kaandika vile ushaform conclusions na kuzipost online "Kitila hakuwa na interest au alikuwa nje" "anapotosha watu" etc, very tactless and undiplomatic language, mtu ambaye hawezi kukaa na watu tu ndiye anayeweza kutoa lugha hizi, na mtu kama Kitila anatakiwa kuwa very easygoing kumchukulia "huyu demu mchovu hakumaanisha alichokisema" na kumsale, lakini kama anakutana na hotheads mtu anaona kawa disrespected tayari mnaanza beef katika chama kabla ya kuanza kampeni.

Ni yale yale niliyosema, tactless,no experience, no diplomacy, no reflection at all, vitu vinafanywa kwa emotions.Halafu nyemela nyemela nyingii, umeandika kitu, watu wamekwambia umechemsha, unakuja kusema ooh sijachemsha mimi muwazi na ndicho nilitaka kusema, sawa.He, hapo hapo unaenda kufuta ulichosema, which is which sasa wewe muwazi unajiamini au una backtrack ?

Sasa hata tuliokuwa hatujui kwamba Tundu Lissu kamshtukia kwamba bomu tushajua.Na mimi siezi kumlaumu Tundu Lissu, kwa sababu probably kaona the same thing nilichoona mimi. Kwamba hapa hamna mgombea watu wanacheza mark time tu.
 
CHADEMA members

Nadhani ingekuwa vyema kama swali lako ungeli-pose kwa akina Kitila/ Mnyika/ Zitto et al ambao ni wanachama wa CHADEMA unless Bob Mkandara naye ni mwana CHADEMA.

Nasema hivyo kwa sababu wana CHADEMA wengi sio household names.....but that doesn't mean they can't form a government with able and capable people....
 
Demokrasia ya wapi hiyo ya kuwapa kura ya turufu makao makuu ya chama baada ya wote kupiga kura?

"Tutaendesha kesi halafu ndio tutamnyonga," walivyosema Wavulanang'ombe wa Texas. Kesi ya nini sasa, mnyongeni tu. Uchaguzi wa nini kama mlijua mtamnyonga mbeleni? Mlitegemea atashindwa lakini mtu wenu akashindwa? Mtema 1 - CHADEMA 0.

Mtema ni mchemfu, lakini kashinda kura, mpende usimpende lazima umpigie saluti.

Mwanakijiji is right, watu kama Mtema walitakiwa wachujwe mwanzo kabisa hata kwenye primaries wasifike.

Lakini Gaijin kashatuambia CHADEMA ina ukame wa wagombea competent, kwa hiyo huyu Mtema ndiye the best of the available, scary indeed.

No wonder CHADEMA wanafakamia makapi ya CCM, this explains it all.
 
Kwa kifupi hujui kwamba CHADEMA wana a capable team, posibly a team at all.

I rest my case on this.
Oooh mimi nimeshavua kofia long - Sikuwezi mkuu wangu, kwako mchana ni Usiku wa kiza na unataka mtu ku prove hali wewe umefumba macho..haaa! haaa! haaa!
 
Oooh mimi nimeshavua kofia long - Sikuwezi mkuu wangu, kwako mchana ni Usiku wa kiza na unataka mtu ku prove hali wewe umefumba macho..haaa! haaa! haaa!

Of course mchana ni usiku wa kiza, mchana London ni usiku wa kiza in the antipodes, and vice versa.
 
Nadhani ingekuwa vyema kama swali lako ungeli-pose kwa akina Kitila/ Mnyika/ Zitto et al ambao ni wanachama wa CHADEMA unless Bob Mkandara naye ni mwana CHADEMA.

Nasema hivyo kwa sababu wana CHADEMA wengi sio household names.....but that doesn't mean they can't form a government with able and capable people....

Pale pale, hujui kwamba CHADEMA wana team capable ya ku form government, for all we know watu wa caliber ya ku form government CHADEMA wanaweza kuwa hawafiki 15.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom