Elections 2010 CHADEMA iwaachilie walioshinda kura za maoni wagombee

Status
Not open for further replies.
Mazee ningependa watu wengi zaidi wa vote CHADEMA, only because naamini tunahitaji mabadiliko.

Lakini at the same time siamini kwamba CHADEMA watashinda urais au kuwa na majority ya viti vya bunge. Nisingependa kuona CHADEMA wanashuka chini kutoka asilimia za kura za urais walizopata 2005 (11%) wala kupunguza viti vya bunge.

Lakini for sure CHADEMA nao bado hawako ready for prime time, ndiyo maana naona ni bora kuwe na gradual change, wapate tough love hapa, kama wana moyo wa kujifunza waweze kujifunza, labda 2015 au 2020 wataweza kuchukua nchi with confidence.

sasa tunapo sema nia na mikakati yako unang'aka nini ,you can run but you can't hide.
halafu unajua nini !!!?wewe ndiye yule ahaaaaaaaaaaaa
 
Unaweza kusema hivi kama tu hunifuatilii na hujui ninachosimamia, wala si mara ya kwanza kusema hili, na ninavyobonda CHADEMA ujue nishabonda CCM maradufu. Kuanzia Kikwete, Malecela, Msekwa, Chiligati etc, "Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea" mpaka Nyerere mwenyewe ambaye hata CHADEMA hawawezi kumgusa, nipo on record hapa JF nishawaua sana tu, sasa sielewi unavyosema mimi ni CCM una maana gani.

Kwa hiyo huwezi kusema hata siku moja kwamba mimi ni mtetezi wa CCM.

Tatizo lenu mna operate kwa kutumia one track mind, kwamba mtu yeyote anayebondea CHADEMA ni kibaraka wa CCM. Hamjui kwamba kuna watu haturidhiki na uongozi wote wa kisiasa Tanzania, si CCM wala CHADEMA. Na tukibondea "chama mbadala" haina maana kwamba tunaunga mkono CCM.

Hili linakuwa gumu sana kuonekana kwa simpleton wa kufikiri "if you are not with us, you are with our enemy" mimi naweza kuwa siko na ninyi na wala sipo na enemies wenu CCM.

Uki expose hii simplicity of thought unanionyesha sababu zaidi kwa nini niko sawa kuwa critical of your lot.

si ndio maana nasema wewe ndiye yule ahaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Pamoja na kwamba mimi ni mgeni humu jamvini, nakuomba sana dada yangu REGIA uwe na kifua, huko uendako unatakiwa uwe na kifua hasaa tofautisha public na private, jua wapi kwenye kuku wengi na wachache na hao kuku wanahitaji mchele kiasi gani na upi unafaa. Ni hilo tu.
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom